Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

Joka jeusi anakomalia bikra. Mie nakomalia kuwa kijana unayejipenda sio ukutane na binti mjini unaoa haujui chimbuko na ukoo wake wote ukoje.rudi kwenu ulikozaliwa ulikolelewa ongea na wazazi sio kuwa kisa una elimu darasa kuwazidi basi na elimu dunia umewazidi.

Huko utakutana na babu zako wanaijua ukoo fulani a2z so ukipenda binti lete jikoni jadiliana nao ujue mbivu na mbichi.
Ila Kama unaoa sura,Mara elimu Mara kazi Mara kimo na unajiona wajua kuliko walioishi kabla yako wewe. Oa mjini mkuu afu kamuonyeshe kwenu.

Unaoa mtu hata haujui kizazi chake Cha nne kurudi nyuma kikoje.
Binafsi I was so sensitive na Koo nayotaka kuchanganya nayo damu ili niunde ukoo wetu.so wewe paramia kisa kadrigii kako sijui kamoja,tuwili,ama tutano unadhani ndo maisha.
Kuna nyanja ikifikaa unatakiwa uwe mjinga uwasikilize wakubwa.
 
Aisee wewe ni muongo wa hatari,uganga ni uongo na huyo mganga mliemleta nae muongo
 
isee wewe ni muongo wa hatari,uganga ni uongo na huyo mganga mliemleta nae muongo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sawa mimi NI MuoNgO MaanA wewe Ni MwAnaFamilia Yetu NA UkweLi Unaujua basi waelezee watu humu ukweli ni upi kuhusu bro na aliyekuwa mkewe na ueleze ukweli ni upi kuhusu huyo mganga.

Uzuri Mimi bnafs sipo upande WA waganga niliamua kumuamini Mungu toka nikiwa kidato cha sita nilijiweka pemben kbs na waganga lakini hainifanyi kuwabeza wanakwenda kutatua shida zao na bro hakuletewa mganga nyumbani Ila alisafiri Safari ya mbali toka huko alipokuwa mpk Kwa mganga kilichofanyika huko sjui Ila Mimi nimesema niliyoyaskia Kwa kunywa chake mwnyw. Kama ww unaona ni uwongo au pengne nashawishi watu waende Kwa waganga ndugu unanikosea maana Mimi hata huko kwa mganga siwezi kwenda
 
Sikiliza weye shemeji wa mchawi;
Ukiwa unaandika, andika kama unaandika.Siyo kama unaongea.Umeelewa?
 
Ukitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui
 
Ukitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui
So wakeshe sababu ya kumchunguza MTU mkono wake wa kushoto.Yaan hapa tushauriane watu waache uchawi ..afu ni usen*e sana huo,maisha yatupige nanyi mtuzingue.Nasema coz jamii ndo hii hii wamo humuhumu,wanatuchora tu tunavyolalama
 
So wakeshe sababu ya kumchunguza MTU mkono wake wa kushoto.Yaan hapa tushauriane watu waache uchawi ..afu ni usen*e sana huo,maisha yatupige nanyi mtuzingue.Nasema coz jamii ndo hii hii wamo humuhumu,wanatuchora tu tunavyolalama
Eti watu waache uchaw never ever uchaw ulujuwepo miakq ming sn BC na unasemekana ulishushwa kutoka juu na malaika na kuna simulizi zinadai uchawi sio shida shida ni ww unautumiaje mfamo waganga wote ni wachaw ila wanautumia kusaidia watu wapo magwiji wa uchawi lkn hawakuwah kuzuru watu uchawi hutumiwa mpka na majesh kulinda nchi uchawi hautoisha kamwe cha msing kuomba mungu akupr uelewa japo kidogo tu
 
Ukitaka kumjua mwanamke mchawi fanya hv ikifika usiku saa 9 mmelala kitanda kimoja mshike mkono wa kushoto ukiona wa moto piga chin haraka sn tatizo lenu hamkai maskan mshana jr kaongeq sn humu hata udi kuchoma hujui
Hiyo saa tisa usiku utamshika mkono kwa namna ipi?mimi nilikuwa nikilala saa 5usiku kuja kushtuk saa11alfajr,mshenzi yule mwanamke nahisi alikuwa ananipiga usingizi wa kichawi.
 
all in all jaman kuoa mchawi ni shida kwa ndoa na kwa familia pia...mimi mwenyewe mhenga kaka yangu alioa mchawi jamani huyu bi wifi alitutesa balaa, ashukuriwe Mungu ambaye anatulinda bila kujua japo tuna madhambi. Cha kushangaza sijui wachawi hawajielewi au ndo wameamua maisha wanayoishi maana wanaishi maisha magumu mnoo asikuambie mtu. yeye mchawi na kizazi chake chote kinateseka kwa ajili ya uchawi wao. Mimi shangazi zangu wanaishi maisha magumu mno jambo ambalo ni sababu ya mama yao bila kujua.

Na wataendelea kuteseka kama hawatamrudia Mungu na kujitenga na maagano ya mama yao,,,ninachosikitika ni kwamba hadi kaka angu kaingizwa kwenye hizo laana.

NB: Hakuna mchawi alishatoboa kwenye maisha ,,,acha wapambane na nyungo zao.
 
 
Kissa hiki Cha bro wako kinafanana Kwa kiasi Fulani na yaliyowahi kunipata baada ya kumuoa mwanamke wa kichaga mwenye muonekano wa kilokole...kumbe mchawi konki aliyetaka kuutoa uhai wangu...nikanusurika Kwa kudra za Mwenyezi Mungu Jamani uchawi upo na wachawi wapo Tena siku hizi ni mabinti au vijana wadogo wadogo huwezi amini
 

Duh kumbe haya mambo ni sereous...sasa sisi ambao hatujaoa tufanyaje sasa tukitaka kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…