Sitasahau kaka yangu alipooa mshirikina

Sasa mashangazi zako hauwezi kuwaokoa sini damu ya kaka yako hao!? Mbona kama unajifanya halikuhusu?
 
Hiyo saa tisa usiku utamshika mkono kwa namna ipi?mimi nilikuwa nikilala saa 5usiku kuja kushtuk saa11alfajr,mshenzi yule mwanamke nahisi alikuwa ananipiga usingizi wa kichawi.
Hahahahahahah kuanzia sa 6 usiku lazma ugongwe usingizi mzito ukiwahi stuka labda saa 9 wanakuwa washafanya yao😅
 
Umegongelea kwenye mfupa kabisa.
Sifa za mwanamke mshirikina lazma awe

I.Mjinga mjinga yani shule less darasa la 7 au failure wa maisha

II.Mchafu wa mazingira, huwa hawanaga tabia ya usafi kabisa. Nyumba ni chafu na usafi wanafagiaga nje tu alfajiri sana ili kuchimbia vidude vyao nje huko.

III.Wanapenda choko choko na kufarakana au kufarakanisha watu. Swala la amani kama ni kwenye familia hawalipendi lazma wagombanishe watu na wazuri sana kwenye umbeya na kutaka kujua ya watu.

Flani kafanyaje, kaingia na nani flani anafanya nini sikuhizi. Zote hizi ni kutafta namna ya kukutia gundu. Haya nimeyashuhudia sababu nimeishi na mtu wa design hii kwa mda mrefu.

Mkuu leta makala yako tujifunze zaidi.
 
Sasa mashangazi zako hauwezi kuwaokoa sini damu ya kaka yako hao!? Mbona kama unajifanya halikuhusu?
Kila mtu anafanya kwa wakati wake...sasa kama mama Yao kashikilia kwenye mpini mm makali Mimi nifanyeje?
Wachawi washenzi sana, Sala za watesi wao ndio zinalemaza watoto...hakuna kitu naeza fanya...amkiri tu Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake ..watoto watakuwa sawa.
 
Hahaha sema wachawi ukitaka kumkomboa mtu ndo wanakuanzishia kipigo cha nguvu yani daily hawakauki kwako! Utashangaa ni milio ya ajabu tu usiku 😂😂😂 ujue wametimba
 
Hahaha sema wachawi ukitaka kumkomboa mtu ndo wanakuanzishia kipigo cha nguvu yani daily hawakauki kwako! Utashangaa ni milio ya ajabu tu usiku 😂😂😂 ujue wametimba
Kingine ni kwamba? Lazima mtu ujitambue na kutafuta msaada kwa Mungu kwa maombi...I mean mashangazi wenyewe...hii dunia ni ya kujipambania alone
 
Kingine ni kwamba? Lazima mtu ujitambue na kutafuta msaada kwa Mungu kwa maombi...I mean mashangazi wenyewe...hii dunia ni ya kujipambania alone
Mashangazi hawamtafuti mungu au
 
Hee!watu mnapitia mitihani!pole bro..... Kwenye Imani yangu tunaambiwa mwanamke mchawi usimwache aishi
 
Hakuna uchawi Duniani humu!!.... watu waongo!! waongo tu na kutishana km unaogopa uchawi utatishwa sana kwa sbabau km upo kweli mie hapa nimejitoa mara kibao!!! niko tayari kuwa mchawi hata kwa kulipa ada ili mradi tu nifundishwe!! uchawi niujue nina kazi nao!! lkn hola!!

haiwezekani eti wachawi hawaingii humu JF!! ...no.....nili jaribu kwa Nyarusare akasema atanitafuta zaidi kaishia kuomba mambo tu!! sasa najiuliza hawa wachawi wapo kweli ama chama cha kupigana miti tuuuu! wanajidai wachawi??

Yuele mzee mchawi wa miwani muhaya ''Mshana Jr' nae ni maneno meeengi tu, hana lolote! mara ya mwisho nilisikia wachawi wenyewe wanamtafuta!!! kakimbilia Msata kureee kujificha!! zamani ilikokuwa kambi ya wakimbizi siku hizi ni kambi ya jeshi!

Narudia tena km wapo mie hapa waniite tushirikiane nitawalipa fedha....
 
Mlaaniwe popote mlipo enyi wachawi na washirikina nilikohoa siku nzima kisa nimemtishia mwanamke Fulani na msumeno.
 
Mkuu uo udhi bado hujaufungua
 
Mimi kuna jamaa yangu huu uhamisho wa kwenda makao makuu ulimkuta na tangu 2020 hajawahi kurudi kwa familia yake yupo hapa Dom anakula maisha na binti mmoja hivi wa kanda maalumu kwa support ya mama mmoja hivi ambaye kiukweli ni mgangamganga hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…