Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 369
- Thread starter
-
- #241
Chizi ni chizi tu.Acha ujinga. Kaa chini tunga story kwa akili uilete hapa. Usitake kukimbia dogo. Ila utumie akili kutunga na uwe unaandika vizuri unajaza maneno yasiyo na tija.
Njoo unipigeLeta yako chukuchuku tuisome bhasi, kisebengo cha nini kwenye uzi wangu. Ukiona chumvi nyingi tia ndimu uongeze uchachu.
Hujui wale wachawi walinipa uwezo, kukupiga sikupigi Ila dawa yako Ni kukuloga tu🙃Njoo unipige
Mtu mzima hatishiwi nyau,Hujui wale wachawi walinipa uwezo, kukupiga sikupigi Ila dawa yako Ni kukuloga tu🙃
Eti mtu mzima. Basi hiyo ID yako (Kapeace)natengeneza picha ya kabinti fulani hv waruwaru. Husumbufu mwingiiiii bila sababuMtu mzima hatishiwi nyau,
Nina zaidi ya 18 au unataka utu uzima wa kiaje?Eti mtu mzima. Basi hiyo ID yako (Kapeace)natengeneza picha ya kabinti fulani hv waruwaru. Husumbufu mwingiiiii bila sababu
Sio kama zama hizo best. Ninadhani kuimarika kwa amani kwa wajomba zako kumechangia utulivu huko.Kimisi wakikuotea hata saiv unatekwa aisee
Magu ndo aliwapunguzaSio kama zama hizo best. Ninadhani kuimarika kwa amani kwa wajomba zako kumechangia utulivu huko.
Hayo majina ni code ila Shansy ndiyo halisi Hana mpango na media za bongoUnawataja majina kabisa na nchi waliyopo unataka waachike kwa waume zao
Umelegeza spring ukawaachia makomboHayo majina ni code ila Shansy ndiyo halisi Hana mpango na media za bongo
Mhhhh. Basi sawa.Magu ndo aliwapunguza
Hata hivyo Ni muda mrefu umepita. Unajua hawa wanawake tunaowaoa Wana Siri nzito Sana hususani ukituka Hana bikra.Umelegeza spring ukawaachia makombo
Utanishtua akiangusha tena bibieAsante kaka