Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 369
- Thread starter
- #141
Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.Huna haja ya kujibizana boss, nilikwambia usitolewe kwenye reli