Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu..uzuri wa kondoo😂Haina kabaya wacha tuusubiri utamu kolea
Ni mkia wake au sijaelewa😂Karibu..uzuri wa kondoo😂
Sikiliza mke mwema, bado tunadaiana ujue😂😂Ni mkia wake au sijaelewa😂
Twende uzuri wa kondoo bhanaa saiv ni kamserereko hamna utekaji wala vumbiSikiliza mke mwema, bado tunadaiana ujue😂😂
Wewe niahidi utanipatia Senene wengine, unajua ninavyowapenda😂😂Twende uzuri wa kondoo bhanaa saiv ni kamserereko hamna utekaji wala vumbi
Umepata tena msimu ndo huoooo umekaribiaWewe niahidi utanipatia Senene wengine, unajua ninavyowapenda😂😂
Fambafu sako, senene zangu unazijua😂Umepata tena msimu ndo huoooo umekaribia
Si wale wenye mabawaFambafu sako, senene zangu unazijua😂
Unaanza ujinga😂😂😂😂 bojoSi wale wenye mabawa
😂😂Hadithi njoo hajafika bado?Unaanza ujinga😂😂😂😂 bojo
Bila shaka unajua mwanamme ni msimamo.😂😂Hadithi njoo hajafika bado?
Ni vile kanikumbusha mbali tu hiyo mitaaBila shaka unajua mwanamme ni msimamo.
Wewe hujalazimishwa kuifuatilia hii story. Nitafute attentions? then for what?! Nitafute attentions kwa watu wasionijua? Kweli JF hii ni kokoro linalozoa kila ana ya watu.Wasimulizi wanaotafuta attentions za watu....ndio kama nyie...haya story yako uje uimalizie Kesho
Au unajazia uongo tuone jinsi fisi alivyo muongopea sungura
Mmerogwa na nan?
Huna haja ya kujibizana boss, nilikwambia usitolewe kwenye reliWewe hujalazimishwa kuifuatilia hii story. Nitafute attentions? then for what?! Nitafute attentions kwa watu wasionijua? Kweli JF hii ni kokoro linalozoa kila ana ya watu.
Niliwambia hapa kuwa mimi pamoja na kuandika hapa niko nabanwa na majukumu ya kifamilia. Thus, I can't keep on typing here whilist, some other crusial responsibilities dinied pending. Unaona huna ustahimilivu, quit the post. You are not compiled to be here by anybody. Poor girl!