Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mbele ya uzuri wa kondoo, kiliwekwa mpaka kituo cha askari wa kusindikiza magari kuna kona flani hivi ya mchongo,Hayo maeneo panaitwa uzuri wa kondoo
😅😅 miaka ya 2002 nilikuwa naenda karagwe kama msimuliaji anavyosimulia ndio ilikuwa route yangu ya kwanza mkoa wa kagera nikitokea mwanza nimefika na meli bukoba fasta nikawahi zile hiace kiherehere nikawahi siti ya mbele nikawa nashangaa wenyeji wanaikwepa wanakimbilia huko nyuma😅😅 dereva akapiga gia kufika uzuri wa kondoo askari akaingia siti ya mbele siti ya mbele afu kavaa kiraia na bunduki imefungwa mapira kibao mi nikasogea karibu na gia sasa tumefika maeneo ambayo wanateka dereva anamuuliza afande " hivi jana wametekea hapa au pale juu afande anajibu ni pale juu babu afu eskota akamrushia abiria bunduki aliyekuwa jirani yake kama hivi huyu dogo aliyekaa hapa" ebwana ee kusikia hii kauli nikawa naicheki ile bunduki jasho la kwapa linatoka nikawaza huyu mjinga ikitokea noma saivi anaweza kunirushia hii bunduki daah ndio nikajua kwa nn kule stand abiria hawakutaka siti ya mbele..Ni mbele ya uzuri wa kondoo, kiliwekwa mpaka kituo cha askari wa kusindikiza magari kuna kona flani hivi ya mchongo,
Ngoma nzito ni kimisi huko ndo pabaya hata sasa bado panaogopesha kiaina
Pole mkuu story inasikitisha na kufurahisha kwa wakati mmoja,hilo pori la kitengule ?maana nimeona uzuri wa kondoo hapo
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Kwani hapo Dodoma umelazwa wodiz gani?Sinaga mzuka na hadithi zisizokuwa na miguu wala macho
Ana drama kama Asii..mwe😂😂😂😂😂😂 story nzuri ila mbwembwe zimezidi hadi ndoto mar mguu ukawaka 🔥 bla bla bla blaa
Maisha yalikuwa magumu mno acha tu kwa sasa karagwe bk ni kugusa tu 24/7 gari zinatembea,, mziki umebaki kasindaga, kimisi na nyakahura na ulipunguzwa nguvu alivyoingia Magufuli, saiv wameruhusu kupita hata usiku mkubwa ila mie bado sina imani napo matukio yalikuwa mengi mno japokuwa namshukuru Mungu sikuwahi kupitia hayo madhira😅😅 miaka ya 2002 nilikuwa naenda karagwe kama msimuliaji anavyosimulia ndio ilikuwa route yangu ya kwanza mkoa wa kagera nikitokea mwanza nimefika na meli bukoba fasta nikawahi zile hiace kiherehere nikawahi siti ya mbele nikawa nashangaa wenyeji wanaikwepa wanakimbilia huko nyuma😅😅 dereva akapiga gia kufika uzuri wa kondoo askari akaingia siti ya mbele siti ya mbele afu kavaa kiraia na bunduki imefungwa mapira kibao mi nikasogea karibu na gia sasa tumefika maeneo ambayo wanateka dereva anamuuliza afande " hivi jana wametekea hapa au pale juu afande anajibu ni pale juu babu afu eskota akamrushia abiria bunduki aliyekuwa jirani yake kama hivi huyu dogo aliyekaa hapa" ebwana ee kusikia hii kauli nikawa naicheki ile bunduki jasho la kwapa linatoka nikawaza huyu mjinga ikitokea noma saivi anaweza kunirushia hii bunduki daah ndio nikajua kwa nn kule stand abiria hawakutaka siti ya mbele..
Usiombe siku hiyo nilipiga Sara zote maana gari zima tulikuwa kimya kila mtu akiokoka moyoni😅😅
Yani anataka mwaka tuumalize kwenye huu uzi hajui km tuko na mambo mengi ya kufanya😂😂Ana drama kama Asii..mwe😂😂😂😂
Karibu unaleta story ambayo huna hata neno moja la lugha ya wajomba zangu hujui kihaya, hujui kinyambo, hujui kiangaza, hujui kinyarwanda, hujui Kirundi, story haiishi inakata atimuKwani hapo Dodoma umelazwa wodiz gani?
Hapa tatizo linakuja pale ambapo kila mtu anataka uandike anavyotaka yeye. Mimi nimeandika kwa maslahi ya wanajamii wote ili kushare niliwahi kuexperience nini huko nyuma. Ule wakati ambao Visa vya utekaji vilikuwa vimekithiri hapa nchini, ili hata wewe ambaye hukuwa umezaliwa ujue nchi hii tumetoka mbali.Karibu unaleta story ambayo huna hata neno moja la lugha ya wajomba zangu hujui kihaya, hujui kinyambo, hujui kiangaza, hujui kinyarwanda, hujui Kirundi, story haiishi inakata atimu
Kelele za chura zipuuze usitolewe kwenye reli mkuuHapa tatizo linakuja pale ambapo kila mtu anataka uandike anavyotaka yeye. Mimi nimeandika kwa maslahi ya wanajamii wote ili kushare niliwahi kuexperience nini huko nyuma. Ule wakati ambao Visa vya utekaji vilikuwa vimekithiri hapa nchini, ili hata wewe ambaye hukuwa umezaliwa ujue nchi hii tumetoka mbali.
Nilisha poa Mkuu🙏Pole sana,mkuu.