Bendera ya Bati
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 279
- 369
- Thread starter
-
- #141
Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.Huna haja ya kujibizana boss, nilikwambia usitolewe kwenye reli
Ukikubali kuandika uzi jf kubaliana na yote mkuu.Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.
Mie sijasoma story yako,niliona hii thread nikaipotezea,lakini kila nikiingia JF naikuta kwenye trending. Leo nimefungua ndio nikajua ni simulizi moja kwa moja nikaja page ya mwisho kujua kama umepost yote au ndio mambo ya vipande. Wasiwasi wangu umekuwa kweli,naona tayari unagombana na watu. Kwanini msiandike simulizi zenu zitimie ndio mpost humu? Kila siku ugomvi ni huu huu. Mie binafsi sitasoma hata nukta moja.Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.
Wewe hujalazimishwa kuifuatilia hii story. Nitafute attentions? then for what?! Nitafute attentions kwa watu wasionijua? Kweli JF hii ni kokoro linalozoa kila ana ya watu.
Niliwambia hapa kuwa mimi pamoja na kuandika hapa niko nabanwa na majukumu ya kifamilia. Thus, I can't keep on typing here whilist, some other crusial responsibilities dinied pending. Unaona huna ustahimilivu, quit the post. You are not compiled to be here by anybody. Poor girl!
Kuna baadhi ya watu wanaudhi sana hapa JF. Kumbe ndio maana watu wanaishia katikati ya story zao wanakimbia. Unakuta ka mtu kanakula ugali wa kuletewa kanashiba kanakosa sehemu ya kupumulia kanakuja kupumulia hewa hapa.
unawashwa eehwewe dada unapenda umbea
Mtu ameleta uzi kwa mapenzi yake mwenyewe, vipi unataka kumforce, aache kazi zake aandike kwa kukufurahisha wewe! Unataka soma hutaki kasome nyuzi zingine kwani tunamlipa? Jifunze kumpa mtu uhuru.Wasimulizi wanaotafuta attentions za watu....ndio kama nyie...haya story yako uje uimalizie Kesho
Au unajazia uongo tuone jinsi fisi alivyo muongopea sungura
Mmerogwa
Alisema anaenda kuangalia mpira wa Simba na Al Ahly. Inawezekana bado yupo njiani anarudi home. Akifika, ataturushia!Malizia basi
Technology imepunguza ujambazi hata wakiwavamia hata shilingi laki tatu hawapati pesa zipo kwenye simu au bank wakipora simu wamejikamatisha wenyewe.Maisha yalikuwa magumu mno acha tu kwa sasa karagwe bk ni kugusa tu 24/7 gari zinatembea,, mziki umebaki kasindaga, kimisi na nyakahura na ulipunguzwa nguvu alivyoingia Magufuli, saiv wameruhusu kupita hata usiku mkubwa ila mie bado sina imani napo matukio yalikuwa mengi mno japokuwa namshukuru Mungu sikuwahi kupitia hayo madhira
Ikiendelea nistue mkuuUkikubali kuandika uzi jf kubaliana na yote mkuu.
Ukipata muda malizia
NitakuitaIkiendelea nistue mkuu
Na mimi naomba uniiteNitakuita
SawaNa mimi naomba uniite
Asa Mimi kosa Langu nini? mpaka uniseme kingereza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wewe hujalazimishwa kuifuatilia hii story. Nitafute attentions? then for what?! Nitafute attentions kwa watu wasionijua? Kweli JF hii ni kokoro linalozoa kila ana ya watu.
Niliwambia hapa kuwa mimi pamoja na kuandika hapa niko nabanwa na majukumu ya kifamilia. Thus, I can't keep on typing here whilist, some other crusial responsibilities dinied pending. Unaona huna ustahimilivu, quit the post. You are not compiled to be here by anybody. Poor girl!