Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatariii..hihihihihiii
Hatari kweli kweli...Kama hali mtaani itaendelea kuwa hivi, basi miaka michache kutoka sasa, Watanzania wengi watakuwa kama Dr. Shika (RIP). Maana hali si hali.
Ukavalishwa NISHAI sio NISHANI?Nikiwa lecturer bora au kwa namna nyingine nikiwa mmoja wa wafanyakazi bora wa nchi ya nchi ya Russia hatimaye wiki iliopita nimeweza kutimiza ndoto yangu ya kukutana na Rais wa Urusi bwana Vladimir Putin na kuweza kushikana nae mkono ama hakika hayo kwangu ni mafanikio na hata kama nikifa leo basi sio case as long as nimefanikiwa kutimiza ndoto yangu"jokes"
Nilianza kuitwa kwa jina langu la bwana Ngengemkeni Kwilasa basi bwana kelele pale Kremlin zilipigwa balaa na wala sikujui sababu ipi zile kelele kwanini zilipigwa ila nikahisi kwasababu mimi ni shemeji yao au kwanini bwana JamiiForums mimi nimeoa mzungu wa huku Russia na nimeoa kwasababu wakati niko chuo kikuu nilikuwa na akili balaa na pia nimesoma na mtoto wa Putin huku Russia na nilipewa mke kutokana na GPA zangu mpaka wa Russia wakati mke Dr. Marian Zincheko mzaliwa wa Petersburg Russia
Basi bwana,nikaitwa mbele ya Rais puttin nikavalishwa Nishai na kupewa kiasi cha dola 150000 kwa mafanikio yangu ya ku produce one of the best student katika chuo cha kursk university katika somo langu la pharmacology na some lingine la microbiology so vyuo Vingi vimenitaka dunia ikiwemo cha zenith university,ivano University, Cairo American University in Egypt Capetown University,Watford University,synergy University na vyuo vingine ulaya.
Nilimsikia Bibi mmoja akiongea na simu anamlalamikia kijana ambae alimpa kazi alafu kijana akawa analeta pigo za kuchagua kazi akamuuliza Kuna siku uliwahi kuzawadiwa pesa ya bure kutoka mtandao wa simu au kupewa kifurushi cha bure tangu uwahi kutumia bando? Jamaa akasema hajawahiKupata vichekesho kama hivi ndugu mteja zidisha kuongeza salio.
😁😁😁😁😁😁Amka wewe usije ukakojoa kitandani,,
[emoji16] duhKwa hiyo lugha ya kirusi unaizungumza kama unakunywa maji
Inawezekana kafa ila wenye tatizo kama lake ni wengi akiwemo walioamwamini sana humu na wengine wakajifanya wako russia wanafuatilia story yake.Mimi nilijua Dr Shika amekufa kumbe bado yupo hai🤣🤣