Sitasahau siku ambayo nimekutana na Rais Putin ikulu ya Kremlin

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukavalishwa NISHAI sio NISHANI?
 
Kupata vichekesho kama hivi ndugu mteja zidisha kuongeza salio.
Nilimsikia Bibi mmoja akiongea na simu anamlalamikia kijana ambae alimpa kazi alafu kijana akawa analeta pigo za kuchagua kazi akamuuliza Kuna siku uliwahi kuzawadiwa pesa ya bure kutoka mtandao wa simu au kupewa kifurushi cha bure tangu uwahi kutumia bando? Jamaa akasema hajawahi

Ila Mimi nimewahi tena ilikua siku ya promotion ya halotel unapewa kiasi unachoweka yaan ukiweka 1000 wanakupa 1000 jaza ujazwe
 
Man down. Waambie unarudi kuishi Tanzania ndo utajua
 
Mimi nilijua Dr Shika amekufa kumbe bado yupo hai🀣🀣
Inawezekana kafa ila wenye tatizo kama lake ni wengi akiwemo walioamwamini sana humu na wengine wakajifanya wako russia wanafuatilia story yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…