Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Id yangu kongwe ni ipi mkuu
 
Mkuu mbona kama unataka kaburi la yule mungu lifukuliwe liongezewe marefu na mapana asije akafufuka kesho
😂😂😂 ameshaoza yule msukuma mshamba
 
Umesahau badala ya kuzungumzia hilo tanuru ulilopitia umeweka vitu too general...Mama ana fanya kazi yake kama rais msijaribu kumlinganisha na waliopita.approach anayoifuata ni ile anayoamini itamfikisha anapotaka na matokeo tutayaona...hizi ni tawala mbili tofauti lqkini zote ni katika kutekeleza ilani ya CCM...
 
Kutokutosha kwa mshahara ndio kigezo cha kuwanyima haki zao?
Ni nyinyi kada ya ualimu tu ndio mnaolalamika mishaara na upuuzi mwingine mara sijui hatujapewa t shirt,tumepewa ubwabwa kidogo bila maji
 
We ni nani ?hahhaha ila we unachekesha kwaiyo kinda umeumbwa kwa mfanonwa mungu basi we mungu?
Soma vizuri dogo!! ukinifuatlia kwa kurupuka hivi huta nielewa kamwe nakwambia!! mie sikutokana na mungu wako unasikia?? ila nakushauri unisome kwa utulivu sana na kwa uelewa!

vinginevyo uta changanyikiwa sana!! kamwe! hutanielewa km kilivyo kizazi cha Nyoka!
 
Una uwezo mdogo wa kufikiri. Hebu rudi kwenye aya ya kwanza uangalie ulichoandika.

Alafu umepitiaje tanuru la moto wakati Mchele uliunzwa 1, 400
Unga 1, 000/=
Mafuta lita 5,000/=
Sabuni mche 2,000/=
Nk

Watumishi wengi wa umma hasa walimu wana uwezo mdogo wa kuchambua na kupambanua mambo
Unapinga kwa hoja dhaifu sana
 
Lakini mwishowe ukweli unabaki pale pale kwamba, JPM alikuwa ni Rais mwenye uwezo wa pekee sana, mzalendo na imara kama Chuma.
 
Lakini mwishowe ukweli unabaki pale pale kwamba, JPM alikuwa ni Rais mwenye uwezo wa pekee sana, mzalendo na imara kama Chuma.
Imara kwenye misimamo yake ya kishamba, uwezo wa kipekee wa kikatili na mzalendo uchwara
 
Kiufupi kama ulikuwa kwenye Kazi ambazo hazina marupurupu na posho lazima uwe uliuona moto maana Mwendazake hapana aisee..

Mwendazake alikuwa anajua kutumia pesa ila kutafuta au kuweka mazingira ya kuzalisha pesa ndio mtihani.
Mwenye magufuli alikuwa mwizi kama wezi wengine wa kodi yetu. Hakuwa na tofauti na wezi wengine tofauti ilikuwa ni mwizi aliyejipa kinga!
 
Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.
Naona unachukulia maendeleo ya nchi yanatokana na mishahara minono ya watumishi! UJINGA NI MZIGO, fikra mgando ni janga !
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupanda kwa gharama za maisha kila mwaka. HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hiki kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Sekta binafsi hii nchi imesahaulika sana tena watumishi wa umma mna wigo mpana sana wa kutoboa sijui mnafeli wapi
 
Back
Top Bottom