Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Mkuu uko nje ya point kabisa. Nafikiri ni kwa sababu ya mahaba uliyo nayo kwa JPM. Hoja ya mleta mada ni kwamba haki ya ongezeko la mshahara ni ya kisheria. Na wakati wa JPM hili haikutokea kwa muda wake wote. Sasa bila kujenga hoja nyingine yoyote ile, hili liko wazi wala halihitaji ubishi.
Ungesema tu ule uwanja ulikuuma haya mengine yote ni ngojera.
ww unalalamika kutokupandishwa mshahara, kuna watu private sector walipunguziwa mishahara 25-40% for 1yr during covid na wengine walipoteza kazi kabisa ww unalia lia kutoongezewa salary while uliendelea kupata mshahara na you kept your job during covid.
Kweli shukrani ya punda ni mateke.
 
Yeye kuwa kuzimu ni jambo la wazi!!! jiulize alitubu wapi kabla ya kifo?? watawala wooote huwekwa na Mungu lkn jiwe alijiweka kwa kuiba kura uongo?? sasa huoni huo ni ushetani??

ni wazi hukusoma kisonono huambukizwi kwa maandishi bali ni direct sexua contact!

Kizazi cha nyoka ni nyoka tu!! mfano kuandika neno dogo tu ''Bible'' kamwe hakita jua mie sisomi bible zenu za kuzimu hizo!

Sisi hatumwiti jiwe shetani unasikia dogo!! bali vitendo vyake tu vina dhirisha ushetani wake!! kwa mujibu wa Biblia nayo iamini kwa Mfano sheria ya Mungu inasema, Usiibe,- yeye aliiba kaenda jenga chato! Usiue yeye kaua Beni sanane na wengine wengi tu!!.....ajabu ya Mungu hakumpa neema ya kutubu popote mpaka anakufa!

hata km uko kwa shetani fikiria tu mtu km huyu atakuwa ameenda wapi?? Jiwe hakusoma yule na wewe Therapeutic Abortion-Mungu aliruhusu!..... biblia ya kuzimu ndo inapingana na madawa ya kulevya, Valium, Pethidine CQ nk zinalewesha sasa alizipiga marufuku ili tufe au.........hivi bado tu huelewi kuwa alitokea kuzimu?

Ni kweli kule kuzimu mna haki sawa na nuru ya kuua, kuteka, kunyang'anya mtakavyo!.....ila jua mlio hai mnapaswa kutubu kinyume cha hapo mtatiwa kwenye ziwa la moto na hao mashetani wenu! ....mwenzako jiwe anajita sana anakiu kweli! anatamani aanze upya lkn historia yake imesha fungwa! hakutubu ati!

Sikia mkuu wewe usijali njoo na gari lako tu!! mafuta utawekewa kila siku bure!! huoni raha bana kuba??? enhee!

Unauwakika kuwa hakutubu,..hapo na hapo umesema uwongo mkubwa ,eti akutubu,ulikuwepo wakati anakufa?Tena wewe ndo mwongo was kwanza nyambafu,...ivi uyu unajiongelea tu ,uko kuzimu umesha fika?au kwa vile unakiburi Cha pumzi kwa kuongea uchuzi wako apa?benisanane ulimshuhudia au umesikia watu wakisema,biblia inasema usimshuhidie mtu uwongo.....hata wewe vile vile ziwa linakusubiri ilo la moto.....kuanzia asubui mpaka Sasa umeongea uwongo mala ngapi?usabu maovu Yako yote toka asubui mpaka Sasa,alafu changanya na maovu Yako ya wiki Zima ......ndo upige kelele apa.....nawakati wewe ndo usikute mwovu wakutupa.....unanyoosha kidole kwa MWENZAKO vitatu vinaludi kwako kingine kinashuudia kwa mungu......
 
Yeye kuwa kuzimu ni jambo la wazi!!! jiulize alitubu wapi kabla ya kifo??
toba ni kati ya mtu na Mungu wake,wews kati hapo ulisimama kama nani kujua hakutubu??
watawala wooote huwekwa na Mungu lkn jiwe alijiweka kwa kuiba kura uongo?? sasa huoni huo ni ushetani??
kwahiyo jiwe aliiba kura akiwa mgombea?
ni wazi hukusoma kisonono huambukizwi kwa maandishi bali ni direct sexua contact!
sasa kama umefanya na shetani kuna mtu utaacha kumpa kweli?
Kizazi cha nyoka ni nyoka tu!! mfano kuandika neno dogo tu ''Bible'' kamwe hakita jua mie sisomi bible zenu za kuzimu hizo!
sawa.
Sisi hatumwiti jiwe shetani unasikia dogo!! bali vitendo vyake tu vina dhirisha ushetani wake!!
alikufanyaje wewe?maana mamilioni ni masiha kwao.
kwa mujibu wa Biblia nayo iamini kwa Mfano sheria ya Mungu inasema, Usiibe,- yeye aliiba kaenda jenga chato!
kwahiyo nawewe ukijenga kwenu umeiba!!yule ni rais anafanya kwa ajiri ya wengi.kama wewe si raia wa chato haimaanishi ufure hasira.
Usiue yeye kaua Beni sanane na wengine wengi tu!!
wewe umetoa mimba ngapi??na ukiulizwa una sababu za msingi utataja pia.
....ajabu ya Mungu hakumpa neema ya kutubu popote mpaka anakufa!
unajipa Usekretari kwa Mungu sasa,kwamba unajua nani ana toba na nani hana.
hata km uko kwa shetani fikiria tu mtu km huyu atakuwa ameenda wapi??
sio swala la kufikiri,ni swala la hukumu kutoka kwa Mungu.
Jiwe hakusoma yule na wewe Therapeutic Abortion-Mungu aliruhusu!
mungu mumeo au Mungu aliye asili ya uhai?
.... biblia ya kuzimu ndo inapingana na madawa ya kulevya, Valium, Pethidine CQ nk zinalewesha sasa alizipiga marufuku ili tufe au.........hivi bado tu huelewi kuwa alitokea kuzimu?
nyinyi kuzimu ya mkuu wenu ndio mnataka dunia ya madawa na matendo yote maovu.kufilimbana nk
Ni kweli kule kuzimu mna haki sawa na nuru ya kuua, kuteka, kunyang'anya mtakavyo!.....ila jua mlio hai mnapaswa kutubu kinyume cha hapo mtatiwa kwenye ziwa la moto na hao mashetani wenu!
hizi ni njozi za saa saba mchana umeandika hapa.
....mwenzako jiwe anajita sana anakiu kweli! anatamani aanze upya lkn historia yake imesha fungwa! hakutubu ati!
hizi taarifa za kuzimu unatoa😁😁😁
Sikia mkuu wewe usijali njoo na gari lako tu!! mafuta utawekewa kila siku bure!! huoni raha bana kuba??? enhee!
mimi sio muumini wa vitu vya bure,ndio maana jiwe ni rafiki yangu hata sasa na milele.
 
Mkuu uko nje ya point kabisa. Nafikiri ni kwa sababu ya mahaba uliyo nayo kwa JPM. Hoja ya mleta mada ni kwamba haki ya ongezeko la mshahara ni ya kisheria. Na wakati wa JPM hili haikutokea kwa muda wake wote. Sasa bila kujenga hoja nyingine yoyote ile, hili liko wazi wala halihitaji ubishi.
kama anamlaumu jpm kwa swala hilo pekee,hafai maana atakuwa kiumbe mbinafsi na anayeendekeza mtumbo wake tu.
 
Unauwakika kuwa hakutubu,..hapo na hapo umesema uwongo mkubwa ,eti akutubu,ulikuwepo wakati anakufa?Tena wewe ndo mwongo was kwanza nyambafu,...ivi uyu unajiongelea tu ,uko kuzimu umesha fika?au kwa vile unakiburi Cha pumzi kwa kuongea uchuzi wako apa?benisanane ulimshuhudia au umesikia watu wakisema,biblia inasema usimshuhidie mtu uwongo.....hata wewe vile vile ziwa linakusubiri ilo la moto.....kuanzia asubui mpaka Sasa umeongea uwongo mala ngapi?usabu maovu Yako yote toka asubui mpaka Sasa,alafu changanya na maovu Yako ya wiki Zima ......ndo upige kelele apa.....nawakati wewe ndo usikute mwovu wakutupa.....unanyoosha kidole kwa MWENZAKO vitatu vinaludi kwako kingine kinashuudia kwa mungu......
Maweee!! jamanie njooni hukuuu! mujiwoneee!....... jiwe kwa kiburi kile cha uzima alitubu wapi? kwa Harmonise au kifo cha mnene kiko wazi sana, kwanza ujue walimficha!! Majaliwa aliongopa analijua hili yampasa na yeye atubu!!

tena huyu Waziri aliapa kiapo cha uaminifu kwa nini atudanganye Tayari ule ni uongo ule walikuwa wanafanya! Rais ni public figure ya uungu kwa nini iwe vile kiuongo uongo? majaliwa ni rafiki yangu sana lkn kwa hili atubu? ......

Mimi kweli nina weza kuwa Muongo au nisiwe lkn ndo maana ya toba iliyo jaa moyoni mwangu!!!! Binadamu tu ndo tumepewa nafasi hiyo bure!! usiku, mchana, na jioni .lkn ukitenda dhami umekwisha!

Mimi siyo muongo wala nyambaf! umekosea!! na wewe kwa hili huendi Mbinguni, unapswa utubu ili uwe salama km hilo li baba yako! tubu Hapa hapa JF!! ila kwa kiburi km cha Li baba yako! jiwe! sidhani km waweza tubu!

Beni sanane! Tundu Lisu! ushahidi uko wazi mpaka kesho! na lazima lile kaburi la jiwe pale chato lipigwe pingu kifungo cha pingu! siku moja! kulingana na hukumu ya kuua na kujaribu kuua!! ili haki itendeke!!

uchunguzi tutafanya tuuu!! hata miaka mia ijayo hata Tundu Lisu akifa leo kesi iko palepale! kumhusu jiwe!! kisheria Rais Mstaaf ndo hashtakiwi!! lkn siyo aliye kufa akiwa Madarakani!!

make alikuwa hajastaaf yule kwa hiyo kesi ya uuaji/kujaribu kuua ina muhusu! ikigundulika ni kweli kifungo cha maisha jela.......na mtu mwenye afya miaka yake ni mia kuishi!

kwa hiyo kaburi lile lita fungwa pingu miaka mia moja jela!! hakuna mtu kwenda pale sijui kutambika wala kupalilia no unasikia!! Rais wako kesi ina muhusu! subiri uone sarakasi.........

uliza swali lingine.......
 
Japo Magufuli hakuongeza mishahara lakini pia hapakuwepo na huu mfumuko wa bei uliopo sasa, kwa kifupi Magufuli na Samia hawana tofauti kwenye hili la kuinua hali ya wafanyakazi.
Mfumuko wa bei umesababishwa na kupanda kwa mafuta duniani, je magufuli angekuwepo mafuta yasingepanda?
 
toba ni kati ya mtu na Mungu wake,wews kati hapo ulisimama kama nani kujua hakutubu??
Maweee!! unatubu mbele ya wanadamu na Malaika!! jua wanadamu alio waua ni mifano ya Mungu wao ni miungu! usilete habari za kuzimu hapa!
sasa kama umefanya na shetani kuna mtu utaacha kumpa kweli?
Suala hapa nikuwa hujui kisonono!! ivo umekusudia kuropoka tu! km unavoendelea kuropoka!! sababu shule yako ndogo kwa hiyo naongea na mtu ambye hakusoma! nakuelimisha hutaki nikufanyeje sasa??
alikufanyaje wewe?maana mamilioni ni masiha kwao.
Aliua Binadamu/watanzania wenzangu kwa kujifurahisha tu! hilo jambo liliniuma sana! km binadamu!
wahiyo nawewe ukijenga kwenu umeiba!!yule ni rais anafanya kwa ajiri ya wengi.k
alijenga kwa mshahara upi?? Mayanga contruction alijilipa? hujui kitu weye!
unajipa Usekretari kwa Mungu
Ndiyo Mungu! ni Baba yangu! yule! na Yesu ni kaka yangu! siwezi ajiliwa na Baba yangu ila jua Mimi ni Yeye! na Yeye ni Mimi! ukiniona mimi jua kabisa umemuona Baba! Paradiso ni nyumbani kwetu iko siku nitaenda!
swala la hukumu kutoka kwa Mungu.
Ni wazi hujaumbwa kwa mfano wake! ndo maaana hujui Hukumu inatoka wapi!
mungu mumeo au Mungu aliye asili ya uhai?
Hujajibu swali hapa ila umekusudia kuropoka tu!
hizi ni njozi za saa saba mchana umeandika hapa.
Lakini jua kuzimu inakusubiri kama ukifanya moyo wako mgumu!
mimi sio muumini wa vitu vya bure,ndio maana jiwe ni rafiki yangu hata sasa na milele.
Sasa hapo ndo unakosea sasa hupewi bure kuna namna ya kulipa kusiko umiza na weye unapata faida kubwa tu! si uje tu uoneee! kuona ni bure!
 
wewe umetoa mimba ngapi??na ukiulizwa una sababu za msingi utataja pia.
Maweee!! kizazi cha nyoka sijui hakielewiiiii...hayo yooote nilisha tubu na nikasamehewa bure kwa damu ya Yesu!
 
Japo Magufuli hakuongeza mishahara lakini pia hapakuwepo na huu mfumuko wa bei uliopo sasa, kwa kifupi Magufuli na Samia hawana tofauti kwenye hili la kuinua hali ya wafanyakazi.
Sukari ilipanda kipindi cha rais yupi.
 
Maweee!! unatubu mbele ya wanadamu na Malaika!! jua wanadamu alio waua ni mifano ya Mungu wao ni miungu! usilete habari za kuzimu hapa!
kama ndio hivyo haya niombe msamaha mimi kwa dhambi ulizofanya,halafu nikusamehe.
Suala hapa nikuwa hujui kisonono!! ivo umekusudia kuropoka tu! km unavoendelea kuropoka!! sababu shule yako ndogo
msomi wa kiwango chako huandika na kuongea kiswahili fasaha,shule ndogo kwa tafsiri sahihi.ni jengo dogo la shule,haya embu jikadirie umeelimika kiasi gani?
kwa hiyo naongea na mtu ambye hakusoma! nakuelimisha hutaki nikufanyeje sasa??
hapa hatuongei tunaandika,umesoma,umeelimika ila bado una ujinga kiasi.
Aliua Binadamu/watanzania wenzangu kwa kujifurahisha tu! hilo jambo liliniuma sana! km binadamu!
kama kuua kulimfurahisha basi ulikuwa na bahati maana alikuacha wakati huna faida yoyote.
alijenga kwa mshahara upi?? Mayanga contruction alijilipa? hujui kitu weye!
haya unajua kila kitu lakini hujui,kuwa rais hakumzuii yeye kuwa na kampuni ya ujenzi,ni dhambi kuwa na kampuni ya rais?
halafu kama aliiba kwa cheo chake kwanini atumie nguvu namna hii kusajiri kampuni!!maana angeweza kukomba hata billion 800 na asihoji mtu.
Ndiyo Mungu! ni Baba yangu!
huna utoto kwa Mungu wewe,usingetetea ufir4ji.
yule! na Yesu ni kaka yangu!
😁😁😁bangi ni janga kwa taifa.
siwezi ajiliwa na Baba yangu ila jua Mimi ni Yeye! na Yeye ni Mimi! ukiniona mimi jua kabisa umemuona Baba!
kwa huu upuuzi wa kuunga mkono ushoga na kuchukia wanaoupinga kwa chuki ya kuua!!!
acha mzaha na Mungu.

Paradiso ni nyumbani kwetu iko siku nitaenda!
una uhakika utapata nafasi ya kutubu??
Ni wazi hujaumbwa kwa mfano wake! ndo maaana hujui Hukumu inatoka wapi!
swala hilo halihusiani na mimi kufanana naye.
Hujajibu swali hapa ila umekusudia kuropoka tu!
hakuna swali ulilouliza.
Lakini jua kuzimu inakusubiri kama ukifanya moyo wako mgumu!
huwenda ni kweli,lakini hujawahi kuwa msemaji wa Mungu,wacha kiherehere.
Sasa hapo ndo unakosea sasa hupewi bure kuna namna ya kulipa kusiko umiza na weye unapata faida kubwa tu! si uje tu uoneee! kuona ni bure!
hakuna jipya gizani.wajinga wamejazwa huko wanatumika kwa zamu.
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupanda kwa gharama za maisha kila mwaka. HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hiki kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Mkuu mbona kama unataka kaburi la yule mungu lifukuliwe liongezewe marefu na mapana asije akafufuka kesho
 
ama ndio hivyo haya niombe msamaha mimi kwa dhambi ulizofanya,halafu nikusamehe.
Mfuasi wa jiwe ni ibirisi hayo ni matumizi mabaya ya toba!
shule ndogo kwa tafsiri sahihi.ni jengo dogo la shule,haya embu jikadirie umeelimika kiasi gani?
Bado inadhihirisha hukusoma kabisa! hujui tofauti kati ya fasihi andishi!
kulimfurahisha basi ulikuwa na bahati maana alikuacha wakati huna faida yoyote.
Kwangu asinge weza kamwe! nina faida kubwa mpaka mbinguni ila umekusudia kuropoka km ulivyo kitabia!
rais hakumzuii yeye kuwa na kampuni ya ujenzi,ni dhambi kuwa na kampuni ya rais?
halafu kama aliiba kwa cheo chake kwanini atumie nguvu namna hii kusajiri kampuni!!maana angeweza kukomba hata billion 800 na asihoji mtu.
Katiba yetu hairuhusu! biashara ikulu kasome tena urudi hapa!! alijitia kukomba sana tena zaidi ya hizo lkn sasa jiulize yuko wapi? nakuuliza!! na kaburi lile lina kesi ya kujibu ....... ni kweli alitumia nguvu bila akili ikamgharimu mnoooo!
huna utoto kwa Mungu wewe,usingetetea ufir4ji.
mungu wako hani husu wala simjui! na sinto mjua kamwe! usijipendekeze namungu wako huyo kwa jiw
acha mzaha na Mungu.
Naona naimba wimbo usio kuwa na chorus mungu wako huyo hanihusu mie !!unarudia yale yale! hataa sitaki kumjua mungu muuaji! tena mwambie Kabisa haka ka mungu kako kakija nitakachapa viboko mpaka kakome!! kakuonyesha alama wee jaribu tu!
na uhakika utapata nafasi ya kutubu??
Huelewi nini hapo sasa!! nyumbani kwetu ni zaidi ya uhakika!
swala hilo halihusiani na mimi kufanana naye.
Vinahusiana kwakuwa wewe na jiwe si miongoni mwetu!
huwenda ni kweli,lakini hujawahi kuwa msemaji wa Mungu,wacha kiherehere.
Kweli kabisa uko sahihi kiherehere kwa Mungu wangu ni sifa kuuubwa!! kuliko kuwa kibaraka wa jiwe mfu! tena mabaya zaidi yuko kuzimu! kwa hiyo u mfuasi wa kuzimu!
wajinga wamejazwa huko wanatumika kwa zamu.
Basi jua weye u miongoni mwao!! ila bado hujajua lkn iko siku utaenda make kuzimu inakuhitaji mnoo km usipotubu!
 
Mfuasi wa jiwe ni ibirisi hayo ni matumizi mabaya ya toba!
ila unaweza kuomba toba kwa mfuasi wa nani!!
Bado inadhihirisha hukusoma kabisa! hujui tofauti kati ya fasihi andishi!
tofauti kati ya fasihi andishi😁😁.
Kwangu asinge weza kamwe! nina faida kubwa mpaka mbinguni ila umekusudia kuropoka km ulivyo kitabia!
mhhhh
Katiba yetu hairuhusu! biashara ikulu kasome tena urudi hapa!!
mayanga HQ ilikuwa ikulu??
alijitia kukomba sana tena zaidi ya hizo lkn sasa jiulize yuko wapi?
alikomba akazipeleka kujenga chato,au anunulia simi mademj zake ndicho kinakuuma??
nakuuliza!! na kaburi lile lina kesi ya kujibu
zingatia kauli ya kwanza,jiwe yuko kuzimu aj kaburini?tatizo unasahau sana,madhara ya kutumia pombe kali.
....... ni kweli alitumia nguvu bila akili ikamgharimu mnoooo!
ikamghalimu wapi,maana unayepiga yowe mpala sasa ni weww sio yeye.na kufa utakufa tu kama yeye,you see.
mungu wako hani husu wala simjui! na sinto mjua kamwe! usijipendekeze namungu wako huyo kwa jiw
na siku utakayomjua,utajisikitikia sana kwa hasara ulizopata kipindi chote humjui.
Naona naimba wimbo usio kuwa na chorus mungu wako huyo hanihusu mie !!unarudia yale yale! hataa sitaki kumjua mungu muuaji! tena mwambie Kabisa haka ka mungu kako kakija nitakachapa viboko mpaka kakome!! kakuonyesha alama wee jaribu tu!
😁😁
Huelewi nini hapo sasa!! nyumbani kwetu ni zaidi ya uhakika!
Vinahusiana kwakuwa wewe na jiwe si miongoni mwetu!

Kweli kabisa uko sahihi kiherehere kwa Mungu wangu ni sifa kuuubwa!! kuliko kuwa kibaraka wa jiwe mfu! tena mabaya zaidi yuko kuzimu! kwa hiyo u mfuasi wa kuzimu!
mungu anahehitaji machawa huyo ana walakini,ndio maana anaambatana na wenye stress.
Basi jua weye u miongoni mwao!!
Mungu hana sekretari.
ila bado hujajua lkn iko siku utaenda make kuzimu inakuhitaji mnoo km usipotubu!
 
Back
Top Bottom