Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Mkuu bado upo kwenye ajira? Labda tuanzie hapo kwanza, and Jee increment ulopewa imeleta impact kiasi gani kwenue maisha yako.

Mkuu wewe ni mbinafsi sana voz unasngalia upandishiwe mshahara wako ila kumbuka asilomia kibwa ya watanzania ni maskini wasio na kazi hao nao maisha yao wanasaidiwa na nani.

Utawala wa mwendazake ulijikita katika kuweka mazingira mazuri kwanza kwa kila mtanzania aweze kujiingizia kipato chake kirahisi lakibi atimize pia wajibu wake kulipa kodi.

Mtazamo wa mwenda zake ulikuwa ndo mtazamo walioanza nao china, angalia china walipo sasa. China walifsnya kazi kwa nguvu na hadi kufikia masaa zaidi ya 10 na wengi walifia kwenye mashine sababu ya kuchoka
Leo dunia nzima inafurahia kila aina ya bidhaa kutoka china sababu walijengewa utamaduni wa kufanya kazi bila kuchoka.

Ndugu yangu mm nimeanza kazi enzi ya kikwete nlikuwa kijana mdogo tu 20+ na sasa nimekuwa mbaba . Hakuna kipindi nlifanya kazi kwa bidii na kwa umahiri wangu wote na kwa uzalendo kama kipindi cha JPM sababu alikuja na mtazamo niliokuwa naota kabla hajawa rais. Kwangu mimi magufuli atakuwa rais wa maisha yangu yote sababu bado naishi kwenye ndoto zake hadi sasa. Na nitaendelea kuwa hivo mpaka nife.
 
Japo Magufuli hakuongeza mishahara lakini pia hapakuwepo na huu mfumuko wa bei uliopo sasa, kwa kifupi Magufuli na Samia hawana tofauti kwenye hili la kuinua hali ya wafanyakazi.
Mfumuko wa bei angalia nje ya box, kuna external forces au hujui dunia ipo vipi?
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Samia ni chaguo la Mungu.
 
Mkuu bado upo kwenye ajira? Labda tuanzie hapo kwanza, and Jee increment ulopewa imeleta impact kiasi gani kwenue maisha yako.
Mkuu wewe ni mbinafsi sana voz unasngalia upandishiwe mshahara wako ila kumbuka asilomia kibwa ya watanzania ni maskini wasio na kazi hao nao maisha yao wanasaidiwa na nani.
Utawala wa mwendazake ulijikita katika kuweka mazingira mazuri kwanza kwa kila mtanzania aweze kujiingizia kipato chake kirahisi lakibi atimize pia wajibu wake kulipa kodi.
Mtazamo wa mwenda zake ulikuwa ndo mtazamo walioanza nao china, angalia china walipo sasa. China walifsnya kazi kwa nguvu na hadi kufikia masaa zaidi ya 10 na wengi walifia kwenye mashine sababu ya kuchoka
Leo dunia nzima inafurahia kila aina ya bidhaa kutoka china sababu walijengewa utamaduni wa kufanya kazi bila kuchoka.
Ndugu yangu mm nimeanza kazi enzi ya kikwete nlikuwa kijana mdogo tu 20+ na sasa nimekuwa mbaba . Hakuna kipindi nlifanya kazi kwa bidii na kwa umahiri wangu wote na kwa uzalendo kama kipindi cha JPM sababu alikuja na mtazamo niliokuwa naota kabla hajawa rais. Kwangu mimi magufuli atakuwa rais wa maisha yangu yote sababu bado naishi kwenye ndoto zake hadi sasa. Na nitaendelea kuwa hivo mpaka nife.
Miaka 6 watu wanapigika wewe unaongea utumbo aisee dah kweli hii nchi Ina watu wana roho mbaya.
 
Sasa hivi umeongezewa kamshahara kwa 23% alafu gharam za maisha zimepanda kwa 60% na umewekewa na matozo juu kisha unashangilia! Huo ni utahira.
Huyu mwendazake angekuwepo hali ingekuwa mbaya zaidi kwani mishahara asingeongeza wakati huo hii inflation asingezuia chochote.

Vyakula na bidhaa nyingine vimepanda sababu ya ukame na vita ambapo magufuli asingekua na chakufanya.

Kimsingi ndio pale unaona Mungu alikuwa na kusudi lake.
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Kama mtumishi hakuacha kazi kipindi cha AWAMU YA TANO, hawezi acha tena.

1. Hakuna nyongeza

2. Hakuna madaraja,

3 Asilimia 15 HESLB kutoka asilimia 8, 4.

Malipo ya pension kwa mkupuo asilimia 25.

Hakika AWAMU YA TANO ilitelekeza watumishi wa umma. Hii ni kweli. Awamu ya NNE ya Jakaya Kikwete ilkuwa nzuri kwa watumishi wa umma, awamu ya tano ni "Things Fall Apart". Ila hii AWAMU YA SITA Things are raising to public workers. Shikamooo Samia kwa hilo
 
Tulitaka kuwa na raisi Magufuli kwa miaka kama 20 hivi inchi iendelee

USSR
Alitumbua sana kwa mbwembwe!! Kuuuumbe hakujua kuna mtumbuaji Mkuu!! akamtumbua Mazimaaa! tena bila ubishi maskini jiwe hakujua Marais wooote Duniani, huwekwa na Mungu!

Kilichompasa kufanya ilikuwa ni kutawala kwa haki.... Sasa yeye Mamake Kabendera kamlilia Mwanawe weee!! aachiwe lile jamaa likatia ngumu ndo Rais yakamkuta ya COVID, yule mama angekubaliwa ombi lake la kumuachia mwanae

Jiwe angekuwa Rais mpaka leo lakini Mama alilia vibaya sana!!... Chozi la Mnyonge likafanya kazi......MJIFUNZEGE HAPA WANA JF, ndo maana tuko humu!! ukiwa rais tenda haki km Kikwete! Uone utakavyo heshimiwa!
 
Kiongozi Mkuu wa Malaika wa Jehanam
Maweee!! nani ampe?? yule ni kuruta kule anaponda kokoto kila uchao!! na kutumwa barabarani ili kusababisha ajali!!...anatamani arudi atubu lkn wapi!!!....... ..imekwisha pitishwa........

Anatamani angekuwa anaongoza km Rais wetu mpya Mama Samia...lkn ndo basi tena!!.......amemnunia shetani kule kuzimu eti alimdanganya!! na shetani kwa kumkomoa huyo Jiwe, ameamua kumpa kazi ngumu!
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Hivi. Nyie watumishi wa umma,mnafikiri hii nchi mpo peke yenu?au nyie ndio mnastshili kuboreshewa mazingira ya kazi kwa nyongeza kila mwaka?sekta binafsi ndio tunavyoishi,mshahara ulikubali wakati unaajiriwa ndio huo huo mpaka utakapo acha kqzi,hakuna nyongeza,
Mnatoa huduma mbovu kwa jamii sio kwa sababu ya kutopewa nyongeza,watumishi wengi hawana weredi walichokisomea,hawakijuhi,na vichwani ni mbumbumbu,wamekalili tu waliyofundishwa.
Yaani ilibidi mnyimwe hiyo nyongeza,mpakq mshike adabu,muache kazi kabisa
 
Huko aliko malaika wa zamu wanapata tabu sana kwenye zamu yake
 
Back
Top Bottom