Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Sitasahau tanuru la moto nililopitishwa na Hayati Magufuli mimi kama mtumishi wa Serikali

Alitumbua sana kwa mbwembwe!! Kuuuumbe hakujua kuna mtumbuaji Mkuu!! akamtumbua Mazimaaa! tena bila ubishi maskini jiwe hakujua Marais wooote Duniani, huwekwa na Mungu!

kilichompasa kufanya ilikuwa ni kutawala kwa haki....sasa yeye Mamake Kabendera kamlilia Mwanawe weee!! aachiwe lile jamaa likatia ngumu ndo Rais yakamkuta ya COVID, yule mama angekubaliwa ombi lake la kumuachia mwanae

Jiwe angekuwa Rais mpaka leo lkn Mama alilia vibaya sana!!...chozi la Mnyonge likafanya kazi......MJIFUNZEGE HAPA WANA JF, ndo maana tuko humu!! ukiwa rais tenda haki km Kikwete! Uone utakavyo heshimiwa!
Alikuwa shetani kwenye mwili wa binadamu
 
Mkuu bado upo kwenye ajira? Labda tuanzie hapo kwanza, and Jee increment ulopewa imeleta impact kiasi gani kwenue maisha yako.
Mkuu wewe ni mbinafsi sana voz unasngalia upandishiwe mshahara wako ila kumbuka asilomia kibwa ya watanzania ni maskini wasio na kazi hao nao maisha yao wanasaidiwa na nani.
Utawala wa mwendazake ulijikita katika kuweka mazingira mazuri kwanza kwa kila mtanzania aweze kujiingizia kipato chake kirahisi lakibi atimize pia wajibu wake kulipa kodi.
Mtazamo wa mwenda zake ulikuwa ndo mtazamo walioanza nao china, angalia china walipo sasa. China walifsnya kazi kwa nguvu na hadi kufikia masaa zaidi ya 10 na wengi walifia kwenye mashine sababu ya kuchoka
Leo dunia nzima inafurahia kila aina ya bidhaa kutoka china sababu walijengewa utamaduni wa kufanya kazi bila kuchoka.
Ndugu yangu mm nimeanza kazi enzi ya kikwete nlikuwa kijana mdogo tu 20+ na sasa nimekuwa mbaba . Hakuna kipindi nlifanya kazi kwa bidii na kwa umahiri wangu wote na kwa uzalendo kama kipindi cha JPM sababu alikuja na mtazamo niliokuwa naota kabla hajawa rais. Kwangu mimi magufuli atakuwa rais wa maisha yangu yote sababu bado naishi kwenye ndoto zake hadi sasa. Na nitaendelea kuwa hivo mpaka nife.
PUMBA
 
Japo Magufuli hakuongeza mishahara lakini pia hapakuwepo na huu mfumuko wa bei uliopo sasa, kwa kifupi Magufuli na Samia hawana tofauti kwenye hili la kuinua hali ya wafanyakazi.
Kwani mfumuko WA BEI umesababishwa na Samia ? Mbona mnakuwa na vichwa vikubwa lakini akili hamna ?
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
kama wewe ni mtumishi wa umma, basi serikali imepata hasara kukuajiri. uandishi wako ni wa kiwango duni sana, haueleweki.

hata mimi mwenye elimu ya darasa la saba ambaye nimejiajiri katika kazi ya bodaboda, nimekuzidi.

mbaya zaidi unaweza ukakuta una elimu ngazi ya degree au masters.
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Hakuna mtumishi wa Serikali atakayepata nyongeza ya 23%
 
Kiufupi kama ulikuwa kwenye Kazi ambazo hazina marupurupu na posho lazima uwe uliuona moto maana Mwendazake hapana aisee..

Mwendazake alikuwa anajua kutumia pesa ila kutafuta au kuweka mazingira ya kuzalisha pesa ndio mtihani.
Meko alikuwa ni mjinga Sana , imagine Ile Tabia yake ya kutembea na kugawa maburungutu ya fedha as if hizo pesa anatoa mfukoni mwake , halafu lilivyokuwa na roho mbaya na kukosa akili , likawa linataka liwatumie wafungwa kwenye tenda za serikali ,yaani hata basic understanding ya economy halina , makampuni mengi ya ujenzi yalikufa Kwa sababu ya ulofa WA huyo bwege na sekta nyingine nyingi Tu makampuni mengi yaliyoajiri watu wengi yalifunga vilago , likakopa pesa nyingi halafu linajimwambafai na kuwadanganya mazoba ,"Tunatumia pesa za ndani " na mazoba yakakubali na kukenua Meno ,too bad Hilo likofuli likatumia pesa za Uma kuhonga na kununua Malaya WA kisiasa toka upinzani na kuharibu uchaguzi mkuu .Likaua demorasia na Uhuru wa habari na kujieleza , likabambikizia wapinzani kesi ,likatengeneza vikosi vya mauaji , likaua watu na kutesa na kufilisi watu mali zao Kwa kesi za kubumba na vitisho .

Na uchumi likauharibu na halitaki kukosolewa

Yaani hii nchi ilikuwa banana republic kabisa , thugs everywhere
 
Tuachane na habari za Magufuli tusimame na Mama Samia kwa sasa. Hayati tutamkumbuka kwa mema yake ila kwa sasa KAZI IENDELEE.
 
Habari,

Niende kwenye mada, kama kichwa cha habari hapo juu, Ninaweza kusema kwamba waliotunga sheria mbalimbali za utumishi wa umma watakuwa wajinga na walikuwa na njia njema kabisa.

Miongoni mwa Vitu muhimu kabisa ni nyongeza ya mishahara, increments na kupanda madaraja kila baada ya miaka kadhaa ili kuendana na kupenda kwa gharama za maisha kila mwaka.HIVYO mtumishi aliweza kuyamudu maisha yake japo kwa kudanadana.

Utawala wa JPM yeye hakuona umuhimu wa jambo hili na kuwasugua watumishi kwa miaka sita bila kuwapatia hiyo haki yao ya msingi, aliwafanya watumishi wengi kushindwa kuendana na gharama za maisha na kuwa na hali mbaya sana kiuchumi.

Hivyo kitendo hichi kilififisha ufikiwaji na upelekaji wa maendeleo kiurahisi kwa wananchi japo wananchi wajinga walikuwa wa kwanza kupiga makofi wakifurahia hayo Mateso ya watumishi wa serikali yao.

Watumishi walifanya kazi quantity na si quality kama maroboti, ufanisi ulishuka sana na nidhamu ya uoga kuwa asilimia 100, nia na hamu ya kufanya kazi za serikali ilipungua kabisa na hata maendeleo yaliyoyowafikia wananchi yalikuwa hafifu japo yalikuwa jina kubwa sana na wale waimba mapambio kama mtakumbuka.

Watumishi wa serikali ni DARAJA la kupitisha maendeleo kutoka kwa serikali kwenda kwa wananchi wakiwa na hali mbaya kiuchumi, kiafya na kijamii basi hata maendeleo tarajiwa yatawafikia wananchi kwa namna hali yao ilivyo na wakiheshimiwa, kupewa stahiki zao kwa wakati basi hata utoaji wa huduma na maendeleo kwa jamii huongezeka maradufu.

Binafsi ninamuona MAMA samia kufanikisha zaidi katika mambo yake hata kwa kulijali hili kundi muhimu katika jamii, na 23% imewaongezea watumishi nguvu sana kabla hata ya kuipata, tunakuomba MAMA samia watumishi utushike mkono na sisi hatutakuangusha kuyatafsiri mawazo yako ya kimaendeleo kuwa uhalisia kwa wananchi wetu tunaowahudumia.

Mungu ibaraki Tanzania, Mungu ibaraki ccm na raisi wetu MAMA SAMIA
Mikataba yenu inasemaje kwani ? Mie si mtumishi wa umma, lakini katika mkataba wangu kumeainishwa kiwango cha uongezekaji wa mshahara. Sasa bado najiuliza aliwazaje Magufuli aliyoyafanya na vipi watu wanaweza kujipanga yasijirudie tena huko mbele ya safari.

Kwanini watu hawaburuza mahakamani serekali ? Kuna haja ya kuundwa tume kutoa repoti ya kuweza kukabiliana na kadhia kama hizi.
 
Hongera kwa wafanyakazi wa umma naona mnapata unafuu wa maisha Sasa😅
 
  • Thanks
Reactions: nao
Huoni kwamba wewe ndio taahira maana unaongea upumbavu ambao ubongo wako unakutuma..

Unaweza kuthibitisha jinsi gharama za maisha zimeongezeka kwa 60%?

Mbona Bei za umeme ziko pale pale,Kodi za nyumba ziko pale pale na vyakula Bei zake zina ongezeko dogo..
Wewe ni lipumbavu na lichawa na tunakujua!

Mafuta ya kula toka 3000 kwa lita mpka 10000
Petrol toka 2500 hadi 3400
Unga toka 800 hadi 1800
Mchele toka 1500 hado 2500
Mbolea toka 50 hadi 180,000
Lim paper toka 8000 mpka 25000

Haya twambie hiyo ni asilimia ngapi?

Usiwe chawa huku wewe ni masikini tu.
 
Huyu mwendazake angekuwepo hali ingekuwa mbaya zaidi kwani mishahara asingeongeza wakati huo hii inflation asingezuia chochote.

Vyakula na bidhaa nyingine vimepanda sababu ya ukame na vita ambapo magufuli asingekua na chakufanya.

Kimsingi ndio pale unaona Mungu alikuwa na kusudi lake.
Acha upumbavu bana!..
.
Ukame upi?

Wewe unagizaga mafuta ya kula toka ukrein na urusi?
 
Unaongezewa elfu 1000 alafu unapandishiwa bidhaa kwa sh elf 5 huo ni utahira na upumbavu
Utaahira ni huu ulioandika hapa,
Hivi miaka 6 vitu havikupanda Bei?
Alikua anafuata Sheria au ubabe kutokupandisha mishahara Wala kutoa nyongeza?
Angelikuwepo Hadi Leo watumishi wangeambiwa Kuna vita wasubrie viishe angeongeza kwerikweri[emoji23][emoji23]
 
Utaahira ni huu ulioandika hapa,
Hivi miaka 6 vitu havikupanda Bei?
Alikua anafuata Sheria au ubabe kutokupandisha mishahara Wala kutoa nyongeza?
Angelikuwepo Hadi Leo watumishi wangeambiwa Kuna vita wasubrie viishe angeongeza kwerikweri[emoji23][emoji23]
Acha uzwazwa dogo, ukiacha sukari iliyopanda toka 1800 mpka 2500 twambie ni kitu gani kingine kilipanda bei?

Mtu ni masikini na ukoo wako unaliwa na umasikini huko vkijijini alafu bado unaleta uchawa wa kipumbavu?
 
Back
Top Bottom