Sitasahau tulivyonunua TV na deki mwaka 1989, hakuna kuigusa na inalala chumbani

Sitasahau tulivyonunua TV na deki mwaka 1989, hakuna kuigusa na inalala chumbani

Kwa kumbukumbu zangu. Tv au screen za mwaka 1989 zilikuwa na remote ya waya. Kwa maana remote ina waya. iliyounganishwa na tv au screen kama jamaa anavyosema.
Zilikuwa zinaitwa svreen kwa kuwa zilionyesha mikanda tu. Hakukuwa na tv.
Hizo screen au tv na deki zake zilikuwa zinasajiliwa na kulipiwa kodi kila mwaka. Zilikuwa na kadi kama yalivyo magari.
Ziliposambaa kukawa na mfumuko maduka ya kukodisha kanda. Unajiandikisha kila ukiazima kanda vhs unalipa. Hakukuwa na cd wala flsh wakati huo.
Majumba ya sinema yakafa.
Tv ya kwanza ilianza kuonekana dsm mwaka 1993. DTV. Baadaye ndio ITV ikaanzishwa 1995.
Miaka hiyo 1985 mpka 1990 ubalozi wa marekani ulikuwa unapeleka udsm kuinyesha taarifa za habari za ABC tv ya kwao iliyorekodiwa. CNN ilianzishwa mwaka 1985


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafumbua macho tayari naangalia tv japo stesheni yenyewe kwasasa imekuwa ni ya mwisho duniani lakini imenitoa ushamba.
TVZ - Televisheni ya kwanza ya rangi Afrika mashariki na kati tangu mwaka 1972, nimezaliwa nimeikuta na hadi sasa ipo.

ᴮʸ cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᵈ
 
Duh!!
Aisee, nimekumbuka mbali sana!
...yupo anky yangu mmoja alikuwa na hiyo kitu sasa ilikuwa kila wikiend naenda kumsaidia kukaa mlangoni kukusanya hela za kiingilio ili kuangalia mikanda ya Van Dame, Bruce Lee, Rambo, Anold, snake master n.k!
Alikuwa ananipa mtonyo kila jumapili jioni, so nikienda shule j3 naonekana bonge la Don!
...vitoto vizuri vizuri, nilikuwa nikivinunulia peremende, basi ikifika jioni kwenye vichaka navikandamizia huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha nifumwe siku moja na mtoto wa mwl mkuu...[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]Daah sitosahau lakini huyo mtoto alivyokuwa mkali kila nikikutana nae tunapasha kiporo!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1989 nipo Iringa Mzee anamiliki radio cassette yenye spika mbili. Radio inalala chumbani kwa baba. Asubuhi mnasikia tu ile kumi na mbili kipindi cha Majira radio Tanzania anasikiliza. Mnasepa shule. Mkirudi ndo unakuta baba na mama hawapo natoa kanda zangu Za Bob Marley nasikiliza one hour later kwenye kumi na nusu anakuwa asharudi kanda zote nazikimbiza chumbani. Sasa anapiga msosi anaenda piga mbonji Kama one hour. Kumi na mbili kasoro anaamka anaoga, ile kumi na mbili kamili yupo sebuleni wakati ule Radio Deusch Welle au idhaa ya kiswahili ya ujerumani inaanza matangazo. Akina Umr kheir, Ramadhan Ally na wengineo. Ikifika saa kumi na mbili na nusu tunahamia BBC London akina Suluma Kassim, Tido mhando, Ally Saleh na wengineo. Yaani ni full habari. ITV imekuja nikiwa Songea 1995 Mzee wetu Mengi aliweka kila mkoa TV kubwa Kama dirisha hivi lkn sio chogo. Itv inafunguliwa saa kumi basi Watu pande zote Za mji mnaenda kuangalia taarifa ya habari.
 
Kwa kumbukumbu zangu. Tv au screen za mwaka 1989 zilikuwa na remote ya waya. Kwa maana remote ina waya. iliyounganishwa na tv au screen kama jamaa anavyosema.
Zilikuwa zinaitwa svreen kwa kuwa zilionyesha mikanda tu. Hakukuwa na tv.
Hizo screen au tv na deki zake zilikuwa zinasajiliwa na kulipiwa kodi kila mwaka. Zilikuwa na kadi kama yalivyo magari.
Ziliposambaa kukawa na mfumuko maduka ya kukodisha kanda. Unajiandikisha kila ukiazima kanda vhs unalipa. Hakukuwa na cd wala flsh wakati huo.
Majumba ya sinema yakafa.
Tv ya kwanza ilianza kuonekana dsm mwaka 1993. DTV. Baadaye ndio ITV ikaanzishwa 1995.
Miaka hiyo 1985 mpka 1990 ubalozi wa marekani ulikuwa unapeleka udsm kuinyesha taarifa za habari za ABC tv ya kwao iliyorekodiwa. CNN ilianzishwa mwaka 1985


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee atakuwa alikuwa fisadi nyerere angejua angefunguliwa kesi ya ML
 
Da, mzee angalau wewe umeanzia kwenye TV, sisi wengine tumeanzia kwenye Radio huko full vichekesho, unakuta kijiji kizima sisi ndio wenye Radio basi imekuwa taflani.

Mzee akienda kupokea mshahara basi siku atakayo rudi anachukua betri zake sita, na kipindi hicho CONGO ndio inasumbua kwelikweli basi na mikanda miwili mpaka mitatu, basi akirud kijiji kizima kinajikusanya nyumban.

Sasa watu wanaanza kushangaa kuanzia kwenye yale makava na had kwenye muziki wenyewe, basi tulionekana watu tajiri sana aisee. Na yote tisa kumi kuja kumiliki TV hapo ndio hekaheka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1989 nipo Iringa Mzee anamiliki radio cassette yenye spika mbili. Radio inalala chumbani kwa baba. Asubuhi mnasikia tu ile kumi na mbili kipindi cha Majira radio Tanzania anasikiliza. Mnasepa shule. Mkirudi ndo unakuta baba na mama hawapo natoa kanda zangu Za Bob Marley nasikiliza one hour later kwenye kumi na nusu anakuwa asharudi kanda zote nazikimbiza chumbani. Sasa anapiga msosi anaenda piga mbonji Kama one hour. Kumi na mbili kasoro anaamka anaoga, ile kumi na mbili kamili yupo sebuleni wakati ule Radio Deusch Welle au idhaa ya kiswahili ya ujerumani inaanza matangazo. Akina Umr kheir, Ramadhan Ally na wengineo. Ikifika saa kumi na mbili na nusu tunahamia BBC London akina Suluma Kassim, Tido mhando, Ally Saleh na wengineo. Yaani ni full habari. ITV imekuja nikiwa Songea 1995 Mzee wetu Mengi aliweka kila mkoa TV kubwa Kama dirisha hivi lkn sio chogo. Itv inafunguliwa saa kumi basi Watu pande zote Za mji mnaenda kuangalia taarifa ya habari.
hahahahaaa
 
1989 nipo Iringa Mzee anamiliki radio cassette yenye spika mbili. Radio inalala chumbani kwa baba. Asubuhi mnasikia tu ile kumi na mbili kipindi cha Majira radio Tanzania anasikiliza. Mnasepa shule. Mkirudi ndo unakuta baba na mama hawapo natoa kanda zangu Za Bob Marley nasikiliza one hour later kwenye kumi na nusu anakuwa asharudi kanda zote nazikimbiza chumbani. Sasa anapiga msosi anaenda piga mbonji Kama one hour. Kumi na mbili kasoro anaamka anaoga, ile kumi na mbili kamili yupo sebuleni wakati ule Radio Deusch Welle au idhaa ya kiswahili ya ujerumani inaanza matangazo. Akina Umr kheir, Ramadhan Ally na wengineo. Ikifika saa kumi na mbili na nusu tunahamia BBC London akina Suluma Kassim, Tido mhando, Ally Saleh na wengineo. Yaani ni full habari. ITV imekuja nikiwa Songea 1995 Mzee wetu Mengi aliweka kila mkoa TV kubwa Kama dirisha hivi lkn sio chogo. Itv inafunguliwa saa kumi basi Watu pande zote Za mji mnaenda kuangalia taarifa ya habari.
Nakumbuka had I TV tulizipa jina ITV.. Mnaulizana nyie kwenu mnaITV?
 
Back
Top Bottom