26 lovies...🙈🙈🙈34. wewe Je!
Kumbeee.....!Hahahahaa!! We Mtani Mtani. LOL
Mtani kipindi hicho 😉 😉 huko kwetu TA ndanindani hata umeme ulikuwa bado haujafika.
Ushajikalikuletia Neiba 🤣🤣
Ushajikalikuletia Neiba [emoji1787][emoji1787]
26 lovies...🙈🙈🙈
😅😅😅 Pole.
Naam nishakua mwanaume wa haja..Hongera umeshakuwa mkubwa sasa!
Umri wa firstborn wetu..nilikua nahisi labda una 29-3034. wewe Je!
[emoji28][emoji28][emoji28] Pole.
We ulikuwa wapi kipindi hiyo jirani?
Hahahahaaa. Lol.
Hahahahaaa. Lol.
Pole jirani. Hivyo huu uzi nyie mnapaswa muupitie mbali.
Ewaaaaa
Kwa hiyo kwa sasa hamna kitu kabisa,, mambo yote yameharibika au?Nashukuru Mungu yupo hai, ni mtu wa mazoezi sana na anampenda Mwalimu na Magufuli, anasema maisha yalikuwa zamani shuleni walikulaga mikate bure.