Sitashaangaa FIFA au CAS wakaamua kufanya uchunguzi wa kuahirishwa kwa mechi ya Simba na Yanga kabla ya kutoa uamuzi

Ndugu umeandika matakataka mengi yasiyo na msingi!siku ya tarehe 7 mchana wote walikuwa katika kikao cha pamoja na makubaliano nikwenda uwanjani! Kama ni hivyo kwa nini Yanga iliweka mabaunsa wakati katika kikao cha tarehe 7 ilijua dhahiri kuwa Simba jioni yake itakuwa na mazoezi uwanjani Nijibu
 
Nyie na Bodi ya Ligi lenu moja.
 
Nyie na Bodi ya Ligi lenu moja.
Sema Simba wamepiga ya kidevu! kuliko ilivyotarajiwa!Bodi ya ligi ingekaa kimya 3point na mabao 3 yalikuwa ya Yanga!...Hila yanga niwaulize ile barua ya Bodi ya Ligi hawakuiona au walijua ni mambo ya mitandao??Maana walienda huko hakuna refa wala kamisaa au afisa ulinzi na sijui ni nani aliwapa kibali cha kuingia ndani ilibidi muishie getini!! 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…