kuna haja wanaooa tuwe tunawapa pole na kuwatia moyo. ile ni risk zaid ya kufanya kazi kwenye machimbo ya uranium. hasa hili la ndoa haina condomHalafu mimi nikisema watu waaminifu wamekuwa tunu, nabishiwa.
Papo hapo, watu wengine wanashangaa kwa nini watu wengine hawataki kusikia habari za ndoa.
kuna haja wanaooa tuwe tunawapa pole na kuwatia moyo. ile ni risk zaid ya kufanya kazi kwenye machimbo ya uranium. hasa hili la ndoa haina condom
kuna haja wanaooa tuwe tunawapa pole na kuwatia moyo. ile ni risk zaid ya kufanya kazi kwenye machimbo ya uranium. hasa hili la ndoa haina condom
Watatuuu? Tuuuu?
Yaan wa 3 tuu umekosa usingizi? Utamkumbuka a isee lazma utarudi kwake maan uendapo...
Mkuu aendapo kuna nini aiseeee nyinyi wadada kweli kazi ipo halafu hapo mtu analilia ndoa eti
Aendapo atamchagua mmoja wa kumuoaa
Siku hizi ukikuta mwanake ana wanaume watatu ujue huyo ni very decent
standards zimeshabadilika
ukitaka uwe pekeako mtolee mahali.
aaa wapi hakuna kitu kama hcho
Sasa wewe kilichokufanya uchokonoe kote huko ni nini........?........utakufwaaaaa..........
Watatuuu? Tuuuu?
Yaan wa 3 tuu umekosa usingizi? Utamkumbuka a isee lazma utarudi kwake maan uendapo...