Sitathubutu tena kushika simu ya mwanamke

Mkuu hao watatu walikuwa wanafanya kwa pamoja? Kama ni hivyo ni hatare ila kama kila moja kwa wakati wake idadi sio ya kutisha sana as long as unakwenda kwa ndom.
 
Nilikua nasoma article moja wanasema hiyo pia ni cheating, cos amount ya time, emotions, feelings unazotumia nao was meant kwa ur partner na sio wao

mh, sasa nitajipozaje frustrations za nyumbani, nimejitahidi singonoki nje, sasa hadi kuchat tuu mnasema tunawaibia emotions sijui na feelings?! hii too much sasa
 

seriously??!! unahshtuka wanaume watatu!!
 
Una uhakika gani kama wote hao wana mla..??
 
Weak man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…