Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua nasoma article moja wanasema hiyo pia ni cheating, cos amount ya time, emotions, feelings unazotumia nao was meant kwa ur partner na sio wao
Partner mwenyewe busy kama moyo.
Nina mpenzi ambaye tumedumu nae kwa muda wa miaka miwili tena wakati mwingine tumeishi pamoja kwa kipindi cha mwaka mmoja ila sikuwa napekua simu yake maana niliaminii ni mtu mzima anajua akitendacho.
Baadae tukatengana kutokana na majukumu ya kazi, ni miezi kama mitatu imepita hatujaonana ingawaje kipindi chote tumekuwa tukiwasiliana huku tukisaidiana mambo mbali mbali sasa ni jana nimemsurprise huyu binti huko anakoishi nilikuta yupo nyumbani akanipokea kwa bashasha akidai amenimiss huku akilaumu kwani sikumpa taarifa.
Simu yake ilikuwa imeharibika whaatsap akaniomba nimtengenezee sasa baada ya kudownload ile app nika backup data aisee nilichokutana nacho huko ni siri yangu maana usiku wangu ulikuwa mrefu wenye mawazo mengi sitawahi msahau na sitamsamehe .
Nashukuru Mungu nimepima niko vizuri yaani wanaume watatu.
Ni watoto tu watakuwa hawajakuelewa....Siku hizi ukikuta mwanake ana wanaume watatu ujue huyo ni very decent
standards zimeshabadilika
Weak manNina mpenzi ambaye tumedumu nae kwa muda wa miaka miwili tena wakati mwingine tumeishi pamoja kwa kipindi cha mwaka mmoja ila sikuwa napekua simu yake maana niliaminii ni mtu mzima anajua akitendacho.
Baadae tukatengana kutokana na majukumu ya kazi, ni miezi kama mitatu imepita hatujaonana ingawaje kipindi chote tumekuwa tukiwasiliana huku tukisaidiana mambo mbali mbali sasa ni jana nimemsurprise huyu binti huko anakoishi nilikuta yupo nyumbani akanipokea kwa bashasha akidai amenimiss huku akilaumu kwani sikumpa taarifa.
Simu yake ilikuwa imeharibika whaatsap akaniomba nimtengenezee sasa baada ya kudownload ile app nika backup data aisee nilichokutana nacho huko ni siri yangu maana usiku wangu ulikuwa mrefu wenye mawazo mengi sitawahi msahau na sitamsamehe .
Nashukuru Mungu nimepima niko vizuri yaani wanaume watatu.
AiseeeSiku hizi ukikuta mwanake ana wanaume watatu ujue huyo ni very decent
standards zimeshabadilika