Yanga imecheza wapi??Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwani ni lazima? Au umejipendekeza wewe? Usitoe povu limezeTimu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
ShelshelyYanga imecheza wapi??
Yanga wameshazoea kucheza na kina Lipuli, usishangae sana mkuuInacheza na STLouis tazama Adam sports wanabutua tu japo wameshinda moja
huu mpira wanaocheza yanga mbona ni kama tu ule nnaouangaliaga wakicheza manchester utd bhana; au chuki tu?Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
Ila ajabu ya Walimwenu kwa Ulimwengu, ni pale anapoona mada ya jambo asilolipenda, na akaingia, kuona kinachajadiliwa.Mm nimeacha kushabikia miaka 15 iliopita