Sitoangalia mpira wa vilabu vya Tanzania

Sitoangalia mpira wa vilabu vya Tanzania

ketone

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2016
Posts
509
Reaction score
655
Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
 
Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
Yanga imecheza wapi??
 
Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwani ni lazima? Au umejipendekeza wewe? Usitoe povu limeze
 
Timu za yanga na simba au azamu ukisikia vyombo vya habari vikivizungumzia utafikiri ni bonge la timu na utafikiri wanapiga bonge la mpira ila Leo nimecheki yanga ikicheza nimeona hamna kitu bora uangalie channel za wanyama... Mpira Tanzania bado Sana...
huu mpira wanaocheza yanga mbona ni kama tu ule nnaouangaliaga wakicheza manchester utd bhana; au chuki tu?
 
sasa we unataka timu ambayo uwekezaji wake hauzid Billion 1.5 icheze kama Barcelona ambayo hizo Bill. 1.5 ni mshahara wa mchezaj mmoja
 
Back
Top Bottom