goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Jamaa yangu rafiki aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mimi namfahamu walichonifanyia sitokaa nimuazime mtu geto langu nahisi yule manzi walifanya maksudi tu kuliloanisha godoro langu pumbafu Sana yaani mimi niwakulala kwenye sofa Kweli?
Ukiniuliza kwanini hakuna guest nitakujibu kuwa hata mimi pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu.
Ila kwa huyu jamaa yangu tulikubaliana kuwa ile hela ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maana nikamkubalia
Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782
Ukiniuliza kwanini hakuna guest nitakujibu kuwa hata mimi pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu.
Ila kwa huyu jamaa yangu tulikubaliana kuwa ile hela ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maana nikamkubalia
Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782