Sitokaa nimuazime mtu gheto langu tena mwisho jana

Sitokaa nimuazime mtu gheto langu tena mwisho jana

Siku nimemuazima mwamba geto Kala tigo demu kaharisha


Nilimuuzia godoro kilazima ilibidi wanunue fresher lakin Ile harufu wapi ilibidi niwe nabebwa na wana mpka hali ikaisha

Nakumbuka ulikuwa wa njano na punje za nafaka demu sijui alikuwa anakula nini kama firigisi la kuku ukilikata
[emoji23][emoji23][emoji23] mna moyo, unaruhusu vipi takataka za watu wengine kitandani kwako unapolala siku zote aisee mimi siwez nakipenda mno kitanda changu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wee si uliona bora kunywa Kvant hela ya lodge haya sasa una kazi ya kununua shuka mpya na godoro jipya.
Kvant ya kubwa na nyama zimeniponza pumbafu Sana yaani huyu jamaa anajitaa Mr p

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hivi bado watu wanaazimana mageto kwa ajili ya kupiga mbususu zama hizi?
 
Jamaa yangu rafiki aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mimi namfahamu walichonifanyia sitokaa nimuazime mtu geto langu nahisi yule manzi walifanya maksudi tu kuliloanisha godoro langu pumbafu Sana yaani mimi niwakulala kwenye sofa Kweli?

Ukiniuliza kwanini hakuna guest nitakujibu kuwa hata mimi pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu.

Ila kwa huyu jamaa yangu tulikubaliana kuwa ile hela ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maana nikamkubalia

Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782
Weka kwanza picha ya godoro ili tujiridhishe.
 
The hell unaachia mtu chumba chako unacholala wau wafanyie ngono na kuacha mauchafu yao hapo?
Tatizo linaanza na wewe kuazimisha chumba watu wazima wafanye zinaa.

Wewe ndio tatizo.
 
Back
Top Bottom