Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Sasa HV mtafute guest tu ctaki mazoea dah yaani kunanukaaa mbayaa sijui aliarisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Sasa HV mtafute guest tu ctaki mazoea dah yaani kunanukaaa mbayaa sijui aliarisha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Hayo maji ya Kwny Hilo godora yakamulie Kwny kikombe then yanywe.Yatakusaidia kupunguza sonona.
[emoji23][emoji23][emoji23] mna moyo, unaruhusu vipi takataka za watu wengine kitandani kwako unapolala siku zote aisee mimi siwez nakipenda mno kitanda changu.Siku nimemuazima mwamba geto Kala tigo demu kaharisha
Nilimuuzia godoro kilazima ilibidi wanunue fresher lakin Ile harufu wapi ilibidi niwe nabebwa na wana mpka hali ikaisha
Nakumbuka ulikuwa wa njano na punje za nafaka demu sijui alikuwa anakula nini kama firigisi la kuku ukilikata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Geto lenyewe sasa.View attachment 2350419
Nilikoma toka siku hiyo[emoji23][emoji23][emoji23] mna moyo, unaruhusu vipi takataka za watu wengine kitandani kwako unapolala siku zote aisee mimi siwez nakipenda mno kitanda changu.
Dada hapan geto langu Lina hadhi yake jmn Kodi nalipa 160 bila umem na maji na takataka jmn acha kbsaGeto lenyewe sasa.View attachment 2350419
Una maana gani mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtafute tena huyo demu, fumua hata pembe za rinda zilizochoka
We babu hufai[emoji23][emoji23]Kumbe hadi micondom mnamind? Mi nilikuwa naiacha humo humo, chini ya kitanda, yeye anaitoa tu na hakuwahi nambia!
Hufai kbsa[emoji23][emoji23]Kumbe hadi micondom mnamind? Mi nilikuwa naiacha humo humo, chini ya kitanda, yeye anaitoa tu na hakuwahi nambia!
Cwez kupost mkuu niwieni radhi means nilikozea mkuuMdanganye, ntapita hadi mwisho wa huu uzi[emoji41]
Kvant ya kubwa na nyama zimeniponza pumbafu Sana yaani huyu jamaa anajitaa Mr p[emoji23][emoji23][emoji23] wee si uliona bora kunywa Kvant hela ya lodge haya sasa una kazi ya kununua shuka mpya na godoro jipya.
Hujamuelewa,hajamuazima bali alimkodishia na hiyo hela wakaenda kupigia K vant kubwa.Pole, na gest zote zilivyojaa kuna kuazima geto siku hizi kweli
Weka kwanza picha ya godoro ili tujiridhishe.Jamaa yangu rafiki aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mimi namfahamu walichonifanyia sitokaa nimuazime mtu geto langu nahisi yule manzi walifanya maksudi tu kuliloanisha godoro langu pumbafu Sana yaani mimi niwakulala kwenye sofa Kweli?
Ukiniuliza kwanini hakuna guest nitakujibu kuwa hata mimi pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu.
Ila kwa huyu jamaa yangu tulikubaliana kuwa ile hela ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maana nikamkubalia
Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782
🤣 Natumaini umepata fundisho hutokaa ukarudia.Dada unacheka cheka nn inamaana wee ujahawai liwa kwenye geto la mtu
Sent from my Iphon
🤣🤣🤣Umeshalitoa nje kulianika, Akina mama hapo waanze kukusema kua umekojoa kitandani