Sitokaa nimuazime mtu gheto langu tena mwisho jana

Sitokaa nimuazime mtu gheto langu tena mwisho jana

Jamaa angu rfk aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mm namfahamu walichonifanyia sitokah nimuazime mtu geto langu nahis yule manzi walifanya maksudi tu kuliloanisha godoro langu pumbafu Sana yaani mm niwakulal kwenye sofa Kweli ?

Ukiniuliza kwanin hakuna guest nitakujibu kuwa hata mm pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu

Ila kwa huyu jmaa angu tulikubaliana kuwa ile hell ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maan nikamkubalia

Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782
Kwa msaada zaidi weka namba ya huyo men (mwamba)kuna vitu nataka anielekeze...
 
Wavulana wa chuo bana,kesho atakuja na uzi kuwa anamiliki range huku hata hela ya lodge hana
Kak sijui dad mm siyo mfula wa chuo chuo chenywe sijawi kufikaa hkn popote nilisema m nasoma chuo hapa jamvini hata siku moja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa angu rfk aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mm namfahamu walichonifanyia sitokah nimuazime mtu geto langu nahis yule manzi walifanya maksudi tu kuliloanisha godoro langu pumbafu Sana yaani mm niwakulal kwenye sofa Kweli ?

Ukiniuliza kwanin hakuna guest nitakujibu kuwa hata mm pia huwa naazima na nakuwa msafi pindi nikipata geto la mtu

Ila kwa huyu jmaa angu tulikubaliana kuwa ile hell ya guest tutaenda kunywa nayo kvant kubwaa ndio maan nikamkubalia

Sent from my Infinix X650
Baadhi tu ya picha View attachment 2349782
Pole sana tuma upya hizo picha..

#MaendeleoHayanaChama
 
Kak sijui dad mm siyo mfula wa chuo chuo chenywe sijawi kufikaa hkn popote nilisema m nasoma chuo hapa jamvini hata siku moja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mambo ya kuazimana magheto ni mambo ya vivulana vya chuo.wanaume halisi tunaenda lodge au hotel ukikosa nenda hata gesti bubu
 
Hii nchi uhuru umepitiliza
Sijui watu wanawezaje hii.. Mie hata kwenda toilet sipendi mtu ajue, na huwa kama nikienda ugenini wanashangaa.. Wanaweza wakaka na mie wiki nzima wasione nimeingia toile.. Huduma nazifata huko mbali kabisa 😊😊😊 kwenye kunjunja ndio kabisaa huwezi jua.. Ila tupo tofauti sasa hiyo ya kuazima geto toka dunia imeumbwa sijawai aisee
 
Sijui watu wanawezaje hii.. Mie hata kwenda toilet sipendi mtu ajue, na huwa kama nikienda ugenini wanashangaa.. Wanaweza wakaka na mie wiki nzima wasione nimeingia toile.. Huduma nazifata huko mbali kabisa 😊😊😊 kwenye kunjunja ndio kabisaa huwezi jua.. Ila tupo tofauti sasa hiyo ya kuazima geto toka dunia imeumbwa sijawai aisee
Ni ulimbukeni unawasumbua. Mambo binafsi yanatakiwa yafanywe kimya kimya na sio kutangazia umma
 
Mambo ya kuazimana magheto ni mambo ya vivulana vya chuo.wanaume halisi tunaenda lodge au hotel ukikosa nenda hata gesti bubu
Wapi bhan sas HV unaweza zidiwa wew mm mwwenywe naazimaga siyo kwamba sijawai azima nimeazima Sana tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom