Kunya siyo kunya kojo siyo koja yaani tabu tupu nimeweka na picha kbsa Lina naaona moderator wamefutaAmekunya?
Dadeki walai wee Ni mshezi sanaaUtazungumza yote na kesho nakuja tena jamaa angu......
Babu maishaa magumu nilimuazima ili kusudi ile hela za kwenda nayo lodge tupige nayo kvant kubwaapole, na gest zote zilivyojaa kuna kuazima geto siku hizi kweli
Ukienda gesti na huyo chura unampa shingapipole, na gest zote zilivyojaa kuna kuazima geto siku hizi kweli
Jamaa amezingua uko sahihiWanaume wanapungua kwa Kasi Sana Duniani,Sasa ishu ndogo Kama hiyo unakuja kuifungulia thread ili tukushauru Nini?
You need to man up, badala ya kuja humu kutulalamikia,ungemwita yule jamaa yako umwambie alichofanya na demu wake sio poa ili msolve huko huko.
Wanaumt huwaga hatumaindishi issues ndogo ndogo Kama hii yako.
Siyo kupungua mkuu Ni kusema ili kusud watu waheshimu geto za watuWanaume wanapungua kwa Kasi Sana Duniani,Sasa ishu ndogo Kama hiyo unakuja kuifungulia thread ili tukushauru Nini?
You need to man up, badala ya kuja humu kutulalamikia,ungemwita yule jamaa yako umwambie alichofanya na demu wake sio poa ili msolve huko huko.
Wanaumt huwaga hatumaindishi issues ndogo ndogo Kama hii yako.
Acha kbsa aibu naaona mm hawezi kusema ila walijuwa tu kuwa Jana Kuna mtu aliliwa mnk jamaa ameniambi kuwa kukikuwa na watu nje hapoUmeshalitoa nje kulianika, Akina mama hapo waanze kukusema kua umekojoa kitandani
Broo nimejifunza kwa Kweli sitokaha nirudiee no ukauzu mwazo mwishoUsipoweka mipaka utatumika tu kama TP na kutupwa. Unadhani kuna mtu ukiwa na shida atakusaidia sababu unampaga chumba bure cha kuchakata mwanamke? Mara chache. Mara nyingi ukiwa na shida hao hawanaga msaada. Mara nyingi sio mara zote.
Sasa unamuazima mtu room ambayo ww umelipa kodi na kitanda chako ambacho wewe ulinunua huku yeye hakulipi na unamuazima si kuwa anaumwa bali aburudishe mwili wake kupitia ww bure.
πAmekunya?