Sitokuja kumwamini hata kidogo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kulidanganya taifa kuwa Magufuli ni mzima

Sitokuja kumwamini hata kidogo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kulidanganya taifa kuwa Magufuli ni mzima

Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Samahani naomba nikuulize je Yeye ndie alipaswa kusema hali ya Rais kwa mujibu wakatiba? Wakati mwingine funika ujinga wako usichekwe.
 
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Sagia kunguni
 
Siku nyingine ufanye uchunguzi kwanza kabla ya kukurupuka na kuandika upupu kama huu.
Kosa la PM ni ipi hapo?
Unafikiri hizo habari anajiamulia tu kuzitoa kama vile ni masuala ya familia yake?

Kapangiwa aseme vile na wenyewe, na kafuata itifaki ya kutii agizo.
 
Unajua Wakati Ule Mzilankende Anamwambia Nitapiga Shangazi Zako
Alikuwa Anajua
Aliuliza Wabunge Wa Kusini Wapo Wangapi ? Akajibiwa Wapo 19
Akasema Nitawafukuza Wote Na Bunge Litaendelea


Mzilankende Alitufanyia Kazi Nzuri Sana Kwa Muda Mfupi
 
Hii nchi haina waziri mkuu believe me, mawaziri wako shaghalabahgala kila mmoja anaongea lake, yeye nae yuko ziarani utadhani naibu waziri anayejifunza kutumia perdiem.
Haa Haa
 
Acheni kumuandama waziri mkuu.

Naona kama anaandaliwa kisaikolojia.

Nyuzi zimekuwa nyingi humu za kumpa jina baya ili apigwe vizuri.
 
Cha ajabu na cha kushangaza serikali bado inamuamini kuwa ni mtu sahihi kuendelea kuwa waziri mkuu, ni bora mama angelivunja baraza la mawaziri akateua mtu mwingine wa kumsaidia kazi huyo majaliwa huenda anampotosha mama katika mambo mbalimbali kwani ameshaonekana ni mtu wa kusema uongo na nukuu maneno yake "RAIS ANACHAPA KAZI IKULU KWANI LAZIMA MUMUONE AKITEMBEA KARIAKOO"

Katika vitabu vya Biblia neno uongo ni miongoni mwa amri za mungu na uongo ni kosa kubwa sana! Sasa kama aliweza kulidanganya taifa iweje aendelee kukalia kiti hicho je mama yupo salaama kiasi gani na kufanya kazi na watu kama akina Majaliwa.

Binafisi mama anakila sababu kufuatilia kwa karibu taarifa anazopewa na huyo mtendaji wa serikali maana haaminiki hata kidogo kwa nchi za wengine kwa sasa asingekuwa waziri mkuu angejiuzuru maramoja kwa kulidanganya taifa.

Mimi nasema mama kuwa makini na taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo unazoletewa na mtendaji wako huyo.
Wewe unalalamika kama nani? Si ndugu w Marehemu, wala CCM, wala raia mwema, la sivyo usingeshangili kifo cha Rais wako. Haruhuitaji imani yako, kaa nayo umwamini aliyesaliti Nchi. Ulichukia sana Waziri Mkuu aliposema Rais yu hai huku ulikuwa umeshaanza kushangilia kifo kilichotangazwa na msaliti.
 
Back
Top Bottom