Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Gatabhanya fanya kazi mkuu, achana na mapenzi kazin usije kusema hatukukuambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BOra ajachezea kazi yako anachezea uch wake. Songa mbele tupa kule.Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Na we lete mwingine;! Ujana Raha sana,kwa Hiyo anakuonyesha kwamba wewe ukipoa,zipo zingine za moto.Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Kitovu Cha Uzembe!Madhara ya mahusiano sehemu za kazi ni kama yale yaliyomkuta ngoswe
Kwani umewekeza hapo?.Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Wewe Bado ni mvulana wewe sio mwanaume.Maumivu yake usipime
Si afadhali hiyo yako.Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Hahaha pole mkuuuKuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Umemaliza kama hajaelewa, akaombewe.Simple usi jaribu na wewe kucheza mdundo wake na wadada wengine kulipiza just ignore her and fanya kama aujari kabisa ikiwezekana wasifie that they look good together, Dadeki maumivu yako ata yasikia yeye 10 plus zaidi ila jiandae kwa counter attacks zaidi 💥💥
📍📌📍Don't shit where you Eat...;
Ila katika scenario hii sio busara kuinvest muda au emotions kwa chizi wa aina yoyote no matter ni wapi hata kama ni long distance (na kwa maelezo yako huyu binti ni chizi)
Maumivu yake usipime
Nimejifunza mkuuGatabhanya fanya kazi mkuu, achana na mapenzi kazin usije kusema hatukukuambia.
Hasante sanaHahaha pole mkuuu