Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
BOra ajachezea kazi yako anachezea uch wake. Songa mbele tupa kule.
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Na we lete mwingine;! Ujana Raha sana,kwa Hiyo anakuonyesha kwamba wewe ukipoa,zipo zingine za moto.
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Kwani umewekeza hapo?.

Shida unakuwa kama umepigwa ganzi.
 
Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.
Si afadhali hiyo yako.
Kuna jamaa mmoja demu ŵake wa ofsini alianza kudeti na bosi, baadaye bosi akajua kama jamaa analamba asali yake!

Kilichofuatia jamaa alivuliwa wadhifa, akanyang'anywa ofisi, akawa kama mhudumu bila ishu maalumu kwa miezi kadhaa, baadaye kazi ikaota nyasi..

Ogopa sana mapenzi kazini broo
 
Don't shit where you Eat...;

Ila katika scenario hii sio busara kuinvest muda au emotions kwa chizi wa aina yoyote no matter ni wapi hata kama ni long distance (na kwa maelezo yako huyu binti ni chizi)
 
Inaonekana bado unampenda hadi umeshindwa kumsahau, hii ni hatari kwako unatakiwa hapo achana nae na udili na maisha yako
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Hahaha pole mkuuu
 
Simple usi jaribu na wewe kucheza mdundo wake na wadada wengine kulipiza just ignore her and fanya kama aujari kabisa ikiwezekana wasifie that they look good together, Dadeki maumivu yako ata yasikia yeye 10 plus zaidi ila jiandae kwa counter attacks zaidi 💥💥
Umemaliza kama hajaelewa, akaombewe.
 
Don't shit where you Eat...;

Ila katika scenario hii sio busara kuinvest muda au emotions kwa chizi wa aina yoyote no matter ni wapi hata kama ni long distance (na kwa maelezo yako huyu binti ni chizi)
📍📌📍
 
Mkuu hakuna ulichopoteza,wewe sepa hivi,Yeye ndie anajichoresha mana atafunuliwa chupi na wengi.
Pia bora umegundua kwamba hana mana,mana kwa ananyokuonyesha nidhahiri hana mana.
 
Back
Top Bottom