Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Si afadhali hiyo yako.
Kuna jamaa mmoja demu ŵake wa ofsini alianza kudeti na bosi, baadaye bosi akajua kama jamaa analamba asali yake!

Kilichofuatia jamaa alivuliwa wadhifa, akanyang'anywa ofisi, akawa kama mhudumu bila ishu maalumu kwa miezi kadhaa, baadaye kazi ikaota nyasi..

Ogopa sana mapenzi kazini broo
Duuh kweli kabisa
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Useless drama
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Duuh pole sana
 
Kwahiyo ukaamua utafute ugali na pisi?


Mshika mbili moja humponyoka mkuu
 
Hiki kipengele kishawahi nikuta... and I was learned in hard way... since then nilijifunza ku balance shobo. Nachoweza kukushauri DON'T GIVE HER ATTENTION 📌📌📍.usimpe attention yoyote. Kwa jujuu unaweza sema hii mbinu haifanyi kazi lakini huwa ni most disturbing psychological torture kwa wanawake hususani kama huyo anayekuonyeshea hapo kazini. Back to you .. inaonekana wewe ni wa 1998_2003 kiumri🤔🤔🤔
I was learned in hard way too 😂😂😂🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya

Akikufanyia hivyo, ujue wee ni boya. Mwanamke siku zote hana uwezo wa kubadilisha mawazo yake kama hivyo unavyodhani. Sema vijana wa siku hizi mna tabia za ki bad boy. Yaani akili za kike. Zamani sisi wanawake ukiwapiga kibuti wanazimia
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Acha uboya
 
Punguza ushamba fanya kazi urudi kwenu ...Kazini utakuja kukosa furaha usichanganye mambo.

Mimi hata namba siwezi kuhifadhi namba za mwanamke yoyote kazini ,sipendi mazoea kabisa wal kujua anaishije ...Kama kuna group la Whatsapp nikitaka nachukua kwa muda then nafuta ...Ukiendekeza hizo mambo utaumia sana.
👍
 
Back
Top Bottom