Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Duuh kweli kabisa
 
Useless drama
 
Duuh pole sana
 
Kwahiyo ukaamua utafute ugali na pisi?


Mshika mbili moja humponyoka mkuu
 
Potezea tu kwani anamaajabu sana ?
 
I was learned in hard way too 😂😂😂🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 

Akikufanyia hivyo, ujue wee ni boya. Mwanamke siku zote hana uwezo wa kubadilisha mawazo yake kama hivyo unavyodhani. Sema vijana wa siku hizi mna tabia za ki bad boy. Yaani akili za kike. Zamani sisi wanawake ukiwapiga kibuti wanazimia
 
Acha uboya
 
👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…