Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Sitorudia kuwa na mahusiano na mwanamke sehemu ninayofanyia kazi

Gatabhanya

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2024
Posts
2,644
Reaction score
5,178
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
 
Punguza ushamba fanya kazi urudi kwenu ...Kazini utakuja kukosa furaha usichanganye mambo.

Mimi hata namba siwezi kuhifadhi namba za mwanamke yoyote kazini ,sipendi mazoea kabisa wal kujua anaishije ...Kama kuna group la Whatsapp nikitaka nachukua kwa muda then nafuta ...Ukiendekeza hizo mambo utaumia sana.
 
Kuna mdada hapa ninapotafutia ugali nilimtongoza mwaka jana mwezi 6 akakubali tukaanza mahusiano juzijuzi tulipishana kidogo. Naona kuanzia jana kaanza kucheza cheza na midume mingine ili niumie mara wakumbatiane mara wapige Kiss.

Hapa moyo unauma wivu wivu. muda mwingne bora kuwa single.
NAUMIA SANA SANA.
Gatabhanya
Uhawara hauna hadhi ya married.

Kuwa na hawara kama haujafunga ndoa wewe bado ni single.
 
Simple usi jaribu na wewe kucheza mdundo wake na wadada wengine kulipiza just ignore her and fanya kama aujari kabisa ikiwezekana wasifie that they look good together, Dadeki maumivu yako ata yasikia yeye 10 plus zaidi ila jiandae kwa counter attacks zaidi 💥💥
 
Hiki kipengele kishawahi nikuta... and I was learned in hard way... since then nilijifunza ku balance shobo. Nachoweza kukushauri DON'T GIVE HER ATTENTION 📌📌📍.usimpe attention yoyote. Kwa jujuu unaweza sema hii mbinu haifanyi kazi lakini huwa ni most disturbing psychological torture kwa wanawake hususani kama huyo anayekuonyeshea hapo kazini. Back to you .. inaonekana wewe ni wa 1998_2003 kiumri🤔🤔🤔
 
Ni tamaa zetu na miwasho.Ya ny%£#@g*^ ndio inatufanya tunakurupukia kila sketi....money ner lazima tupigwe na vitu vya utosini... tujifunze ku balance shobooo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom