Sitosahahu nilipojitapikia baada ya kulewa

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Am sooo sooo so sad, ilikua jumamosi moja,tarehe kma ya leo nilipotoka club, nikiwa tungi.

Nafika home sijielewi elewi, gari nimeharibu bumper.
Naingia chumbani na viatu na kulala, naamka asubuhi nipo mtupu km nilivyozaliwa.

Nimelala wife yupo pembeni, ananiangalia.
Nambana kwa maswali anasema ilibidi aniamshe na kunikokota bafuni, akanivua nguo zote na kuniogesha. Then akanikokota room na kunilaza uchi.

Why anilaze bila nguo? Akajitetea nilikuwa nimejitapikia so akazivua nguo zote na kunilaza uchi.
Nam maindi till today sema hajui tu!

Wanawake wapuuzi sana, sishauri mtu kuoa.
 
Aisee, yaani umesaidiwa na waifu bado unalalam je ungekuta umekuta umebakwa na wahuni?
 
Ningekua mimi ningeacha pombe siku hiyo hiyo badala ya kumlaumu my wife wako.
Me kuna siku nimekutana na jamaa zangu flani hivi,wakanipiga makonyagi sio poa asee afu nilikua sijala kitu,kurudi home usiku kwanza nikaanguka getini then nikalala sebuleni..toka siku hiyo nimeacha pombe asee maana nilitia aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…