Sitosahau mapacha wa Antivirus walivyoomba msamaha clouds

Sitosahau mapacha wa Antivirus walivyoomba msamaha clouds

Wasanii wa bongo kwann wasiungane na kuanzisha tamasha lao?
Wao wenyewe wanaibiana wakianzisha tamashaa watauana kama kwenye stage Chidbenz alisema show ya Hamornize kaperform kwa malipo ya laki na nusu we unategemea nini?
 
Ruge kashakufa Dozen kashahama clouds.. Tuwapumzishe clouds kwa sasa

Tuangalie hizi media zingine je wao wako feaa?
Msanii Akiwakosea Adabu wanafanya ninii?
 
Ivi Kuna mtu anaule wimbo wa anti virus wa zingu nikuzingue makamanda kitambo sana nautafuta sijapata
 
Acha tuuu alikua anaongea yeye aibu naona me kuna time nlikua napunguza sauti hadi mwisho afu naongeza badae.....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom