screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
[emoji736]Me sintosahau msanii rubby alivyowaomba msamaha....sasa huyo B12 alivyokuwa anamuuliza maswali hadi kinyaa.....aibu naona mimi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji736]Me sintosahau msanii rubby alivyowaomba msamaha....sasa huyo B12 alivyokuwa anamuuliza maswali hadi kinyaa.....aibu naona mimi!
Wao wenyewe wanaibiana wakianzisha tamashaa watauana kama kwenye stage Chidbenz alisema show ya Hamornize kaperform kwa malipo ya laki na nusu we unategemea nini?Wasanii wa bongo kwann wasiungane na kuanzisha tamasha lao?
Sasa hivi naona wameanza kujitokeza na kusema wanatamani sana kufanya kazi na JideJide anadai wasanii wanamnyanyapaa wakihofia kutengwa na clouds lakini kwa sasa ni rahisi jide kushirikiana na diamond kuliko na alikiba
Mondi bado kakomaa aiseeHebu tusubiri huyo mondi yeye atafika wapi bila clouds media hawa wengine yaliwafika hapaaa!
Vipi comment yako bado ipo valid mpaka sasaCLOUDS KIBOKO YAO SIMBA NA YULE DEMU LADY JAY DEE
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Acha tuuu alikua anaongea yeye aibu naona me kuna time nlikua napunguza sauti hadi mwisho afu naongeza badae.....
Wcb nao n hvo hvo had kwa mmakondeRuge kashakufa Dozen kashahama clouds.. Tuwapumzishe clouds kwa sasa
Tuangalie hizi media zingine je wao wako feaa?
Msanii Akiwakosea Adabu wanafanya ninii?
Wasingeomba msamaha wangelala njaaView attachment 739166
Hawa maniga walizingua Sana, walionyesha udhaifu mkubwa Sana kuomba msamaha clouds bora wangekausha tu, maniga nawakubali Sana ila hapa waliingia cha mashoga