kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Nguruwe kwenye shamba la mihogo wapi na wapi ,achana nao ilimradi wako na chamana hakunaKuna watu ''watakupiga mawe'' lakini una akili sana. Haya mambo hata mimi siku hizi sisikitiki tena. Nchi hii ina kila raslimali na haikutakiwa iwe hivyo. Tunacheka na CCM badala ya kuwawashia moto.