Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Kama Jamaa ameishia mtini niindeleze mimi Wakuu, nianze na kipande cha kutoka pale Mnazi mmoja Lindi hadi Dar es salaam kisha Mlandizi jinsi safari ilivyokuwa ngumu na mateso ukizingatia nimepoteza namba ya rafiki wa baba pamoja na line
Endeleza mzee
 
[emoji3][emoji3]kwa namna jamaa anavyosimulia utadhani shetani na Mungu walikaa kikao kisha wakaafikiana shetani aendelee ila asimuue jamaa kama ilivyokuww kwa ayubu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

yaani unawezafanya jambo ukidhani unaweka yajayo sawa sekunde zijazo kumbe ndio unaharibu kabisa,mfano hapo kwenye kudai nauli.

sema mkuu mara ya mwisho uliishia umekabidhi elfu 5000 kwa boda umebaki na 5000 mfukoni,hujatwambia nani alikufadhili 25 baadae ambayo ulikuwa nayo wakati unakutana na majangiri.
Alipewa nauli na mwalim mkuu 20k baada ya kuibuka zogo la kutaka kumbaka mtoto wa mwalim wa kike.
 
Kama bahati tu, ilipofika saa 3 usiku kuna gari ya mizigo ilipita ,muda huo nikiwa nimekata tamaa ya kupata usafiri wakunifikisha sehemu Salama ukizingatia pale ni sehemu hatari sana, japo muda huo nilishakata kilometa kadhaa uelekeo wa Lindi

Kumbuka mpaka muda huo bado nilikuwa sijala chakula chochote ukiacha kile kipande cha nyama pori ambayo ilikuwa ni ngumu nilichokula usiku na wale majangili .

Konda wa hili gari alivyoshuka ili kuniuliza nahitaji kuenda wapi ghafla nikaona kama amesita wakati alipokuwa amesogea karibu na akawa anataka kurudi kwenye gari ,huenda hii ilitokana na jinsi muonekano wangu ulivyokuwa, labda aliniona kama kichaa au sijui ni mawazo gani yalimjia kichwani kwake juu yangu.....

NB wengine watamilizia
 
😀 Eti babe...taratibu bhn. Huo ubabe tumeanza lini mkuu....Harakati za maisha ni nyingi sana,,sie watoto wa Mboga 1 tunazifahamu 😅.
1652871869559.png
 
Kama bahati tu, ilipofika saa 3 usiku kuna gari ya mizigo ilipita ,muda huo nikiwa nimekata tamaa ya kupata usafiri wakunifikisha sehemu Salama ukizingatia pale ni sehemu hatari sana, japo muda huo nilishakata kilometa kadhaa uelekeo wa Lindi

Kumbuka mpaka muda huo bado nilikuwa sijala chakula chochote ukiacha kile kipande cha nyama poli ambayo ilikuwa ni ngumu nilichokula usiku na wale majangili .

Konda wa hili gari alivyoshuka ili kuniuliza nahitaji kuenda wapi ghafla nikaona kama amesita wakati alipokuwa amesogea karibu na akawa anataka kurudi kwenye gari ,huenda hii ilitokana na jinsi muonekano wangu ulivyokuwa, labda aliniona kama kichaa au sijui ni mawazo gani yalimjia kichwani kwake juu yangu.....

NB wengine watamilizia
Hahaha singo kama singo
 
Back
Top Bottom