Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Hivi wewe na akili zako za utoto na upuuzi... Unahisi alitakiwa aweke kila kitu kuhusu yeye? Sometimes huwenda historia inamaumivu kwake au kwa walioifanya hiyo historia ya Muhusika hivyo hana budi kuficha vile vya muhimu....Kwenye stori anasema amesoma na mshkaji primary kamaliza 2006 so it means kaanza 1999.
Hapa anasema 92.
Ila sio ishu sana siisi tunataka stori
Katika zawdi alio tupa Mungu ni kudindishia mbunye...maana pale una sahau shida zoteNa majanga yote hayo bado ukadinda
Hakuna mgodi mkubwa kuna wachimbaji wadogo wa wadogo.Vijiji gani kuna hayo machimbo ya dhahabu.?
#MaendeleoHayanaChama
Lkn mwanzo kbs kwenye hadithi yake alisema alisoma mawenziKama siyo ya kweli,umelazimishwa kuisoma?
Jamaa una misukosuko sana[emoji23][emoji23][emoji23]mpaka mitama-------SEHEMU YA KUMI NA MOJA - - - - - -
Nilipokula chipsi yai makamu akaja kuniletea maji ya kunywa nakunionyesha sehemu za muhimu kama Choo na bafu. Nikalala fofofo japo ni chini kwenye sakafu lakini usingizi ulikuwa mtamu sana kutokana na uchovu mzito niliokuwa nao tangu nimeondoka Dar Es Salaam sikuweza kulala kwenye
Umri wa kazi gani sasaKwa msoto wa namna hii Ndio utajua mwana mpotevu hakuwa fala kurudi kwa baba yake. .."mzee kauza debe za mahindi ampe mwanae anayeteseka"Mungu amzidishie umri.
Nakasirikaga kutagiwa na vilaza🥶🥶🥶🥶🥶Umri wa kazi gani sasa
SMG ya kuwindia kkkkkkHii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga. Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
Saawa ndugu yangu.Hivi wewe na akili zako za utoto na upuuzi... Unahisi alitakiwa aweke kila kitu kuhusu yeye? Sometimes huwenda historia inamaumivu kwake au kwa walioifanya hiyo historia ya Muhusika hivyo hana budi kuficha vile vya muhimu....
Unachotakiwa ni kuchukua funzo lililo ndani ya story, hayo mengine unayamezea....
Bichwa lako
Yaunganishe haya machapisho yako utatoa kitabu kizuri sana utakachoweza kukiuza na kuagana na umaskini. Uko vizuri kwenye kutunga hadithi kwa kweli. Hongera sana.-------SEHEMU YA NNE -------
Kile kijamaa kigomvi ambacho kilikuja na pikipiki ambayo haina hata plate number kilirarua sana moyo wangu maana hakana huruma kabisa na sikujua kuwa unyama wa namna hii upo mpaka wilayani, wale majamaa wenzake wawili kipindi wanakagua begi langu walipoona vyeti kile kijamaa kwa hasira
Hahahaha kidagaa ni chawa pro max ..SEHEMU YA KUMI NA MBILI
Basi baada ya kina Kidagaa na bosi zake kuondoka, nikaona isiwe tabu kwa vile njia naijua nikaanza kutembea kufuata uelekeo wa lile basi lilipopita huku nikiangalia alama za matariri ya basi la MACHINGA ili nisije kupotea. Niliendelea na safari kwa muda wa masaa matano bila kupumzika na begi langu la nguo likiwa kichwani. NIkapita sehemu nikakuta wanacheza prutable. Kiukweli walinishangaa sana wale wacheza prutable lakini mimi
Ukiipata na mimi usinisahaualiye na simulizi ya rogez wa RFA sitosahau please naomba anisaidie
N.B napenda sana simulizi za maisha
Mtoto wa mamaBonge la chai hakuna ukweli hapa
Sasa compile simulizi zako zote------SEHEMU YA SITA - - - - - -
Nilipoangalia mazingira ya yule jamaa mlevi nikaona amekojoa maeneo yale na yale maboksi ya kulalia yamekojolewa, kwa kuwa nilikuwa na usingizi sana nasiwezi kulala kwenye michanga ilinibidi nichague Kati ya haya "kulala kwenye mikojo au kutokulala kabisa".. Nikasema mm nalala maana
Sasa compile simulizi zako zote peleka kwa publisher utatoa kitabu kizuri sana cha riwaya. Unacho kipaji kifanyie kazi.------SEHEMU YA SITA - - - - - -
Nilipoangalia mazingira ya yule jamaa mlevi nikaona amekojoa maeneo yale na yale maboksi ya kulalia yamekojolewa, kwa kuwa nilikuwa na usingizi sana nasiwezi kulala kwenye michanga ilinibidi nichague Kati ya haya "kulala kwenye mikojo au kutokulala kabisa".. Nikasema mm nalala maana hakuna namna Ile navua begi mgongoni niliweke ndani nakuta limefunguliwa zipu na baadhi ya documents zilizokuwa kwenye bahasha ikiwemo vyeti
------inaendelea usichoke - - - - -
Ni sahihi hata akiishia hapa,maana vibwanga vitakuwa vimeisha na kaweza kurudi kwao,isingependeza kama ingeishia kwenye zile shule tusingejua kuwa alifanikiwa kufundisha au hakufanikiwaStori nadhani imeisha kwani anakaribia kufika kwa rafiki wa baba yake. Tuonane Lindi kwa Kidagaa.
Machinga ni magari ya aliyekuwa Mbunge wa Mtwara Mjini. Ni muhindi ana pesa ya kutosha tuHuyu kidagaa ni snitch sana kumbe,ukiona chawa wa bosi anakuwa mkali na mwenye roho mbaya ujue bosi wake hana kitu (Chapaa)