Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Mpwayungu village nakusihi katika imani yako achana na hao akina Tomaso.(wasioamini)
Maliza stori yako ukate kiu ya wengi.
Usiwaache watu na hamu kwa stori yako tamu.
Ahadi yangu kwako kama hujaoa nitakupa binti yangu bikra akupoze machungu ya kuhaso na maisha ya ufukara.
Binti yangu ni mwajiriwa ana kipato sio chini ya 3M kwa mwezi.
Dingi kanogewa na story mpaka kumtoa mwanae , plz mpyayungu village njoo umaalizie mpaka wazee wa hekima wameingilia kati tafadhali tupuuze sisi vijana , heshimu wazee hawa.[emoji109][emoji16]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Ila we Mpwayungu ni ginias kweli,hao wanaokuponda vyeti vyao utakuta wameishia form 4 tena wamepata d ya kiswahili na english.......Ila mpwayungu comb uliyochukua form 6 ulitakiwa uende ukarushe ndege tena bombadia lile kubwa lakwenda dubai one way... na sio kufanya kazi za kiuanasheria mahakamani
 
Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100
Unataka utuaminishe kuwa wewe na usomi wako hujawahi kosea spelling? Au Kuandika neno kwa usahihi ndo ujinga umekutoka 100%, acha ujuaji bhna.
 
Nyizi kama hizi zilipotea sana humu, [emoji22] nakumbuka stori kama hizi alikuwa nazo KITOABU, na jamaa mmoja nime msahau jina alisafiri kwenda South Africa [emoji1221] miaka hiyo aka kutana na pisi kali Tshepiso kama sija kosea [emoji38] yaani Jf kuna raha sana.
Konda msafi na pisi kali nkumbu
 
Nyizi kama hizi zilipotea sana humu, [emoji22] nakumbuka stori kama hizi alikuwa nazo KITOABU, na jamaa mmoja nime msahau jina alisafiri kwenda South Africa [emoji1221] miaka hiyo aka kutana na pisi kali Tshepiso kama sija kosea [emoji38] yaani Jf kuna raha sana.
Yule mwenye dawa ya wachawi.... ikifika usiku inamwikua [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpwayungu village nakusihi katika imani yako achana na hao akina Tomaso.(wasioamini)
Maliza stori yako ukate kiu ya wengi.
Usiwaache watu na hamu kwa stori yako tamu.
Ahadi yangu kwako kama hujaoa nitakupa binti yangu bikra akupoze machungu ya kuhaso na maisha ya ufukara.
Binti yangu ni mwajiriwa ana kipato sio chini ya 3M kwa mwezi.
Mpwayungu village ukuje uku stori yako nzuri imekupatia mke,hongera sana..........mateso yako yameshaisha ule kivulini sasa
 
Uhalisia ni Asilimia 99.9 wengine hayo maneno tunayafahamu na habari ya kutunga inafahamika..vipo vionjo anaweka ili kuifanya simulizi yake iweze kulika.
Yakikukuta na wewe utapata cha kusimulia.
Wakishua Hawa ndoman hawaamin ila sisi tuliohaso tunaelewa Sana hya mambo
 
Ndugu mleta uzi labda nikwambie kitu kimoja hii jamii forum imejaa watu wa ovyo(zamani nilijua ni mtandao wa watu smart )yaani kuna watu wa kila aina tena wenye shida zilizopitiliza,yaani wengi mastress yao wanayahamishia kwenye nyuzi za watu,ni ngumu sana kukuta watu kama mshana,sky eslat na wengine wengi tunaowaheshimu hapa wakikoment ujinga hata kwenye ishu sensitive,
Mfano kwa nature ya uzi wako hata ingekuwa story ya kutunga bado inafaida nyingi kwa msomaji,kwa maana dislike hazikutegemewa,lakini kwa kuwa huu mtandao ushakuwa wa kila mtu basi utakutana na disappointment za kutosha
Cha muhimu wapuuze watu wachache afu uandike kwa manufaa ya wengi
Nadhani hata wewe unavyosimulia kuna namna unapata relief,I look forward to hear from you!
 
Mpwayungu village ukuje basi utumalizie story yetu....kama mke umeshapatiwa na mwanajf,ama unataka ajitokeze mwanajf mwingine akuzawadie nyumba ama
 
Kwani hayo maambukiz ni sabab ya hali ya hewa? Kwan hii nchi ni njombe tu ndo kwny baridi?.

Kuna maeneo kama lushoto huko tanga,mbeya, arusha, moshi kuna baridi balaa lakn mbna maambukizi hayapo juu kama inavosemwa njombe?? Nahisi kuna sabab nyngne
Eti lushoto, Arusha na moshi ndo useme Kuna barid Sasa ya kuifananisha na njombe ??

Barid ya njombe ni habar nyingne asee na wilaya inayoongoza kwa baridi ni makete na ndo ulikozid Sana ukimwi
Kwahy hta Kam Kna sababu zingne ila barid nayo inachangia kwa kias kikubwa
 
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Salute mkuu.

GPA 4.2

Kweli maisha Sio ya kukariri
 
Back
Top Bottom