Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Dingi kanogewa na story mpaka kumtoa mwanae , plz mpyayungu village njoo umaalizie mpaka wazee wa hekima wameingilia kati tafadhali tupuuze sisi vijana , heshimu wazee hawa.[emoji109][emoji16]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ila we Mpwayungu ni ginias kweli,hao wanaokuponda vyeti vyao utakuta wameishia form 4 tena wamepata d ya kiswahili na english.......Ila mpwayungu comb uliyochukua form 6 ulitakiwa uende ukarushe ndege tena bombadia lile kubwa lakwenda dubai one way... na sio kufanya kazi za kiuanasheria mahakamani
 
Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100
Unataka utuaminishe kuwa wewe na usomi wako hujawahi kosea spelling? Au Kuandika neno kwa usahihi ndo ujinga umekutoka 100%, acha ujuaji bhna.
 
Konda msafi na pisi kali nkumbu
 
Yule mwenye dawa ya wachawi.... ikifika usiku inamwikua [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpwayungu village ukuje uku stori yako nzuri imekupatia mke,hongera sana..........mateso yako yameshaisha ule kivulini sasa
 
Uhalisia ni Asilimia 99.9 wengine hayo maneno tunayafahamu na habari ya kutunga inafahamika..vipo vionjo anaweka ili kuifanya simulizi yake iweze kulika.
Yakikukuta na wewe utapata cha kusimulia.
Wakishua Hawa ndoman hawaamin ila sisi tuliohaso tunaelewa Sana hya mambo
 
Ndugu mleta uzi labda nikwambie kitu kimoja hii jamii forum imejaa watu wa ovyo(zamani nilijua ni mtandao wa watu smart )yaani kuna watu wa kila aina tena wenye shida zilizopitiliza,yaani wengi mastress yao wanayahamishia kwenye nyuzi za watu,ni ngumu sana kukuta watu kama mshana,sky eslat na wengine wengi tunaowaheshimu hapa wakikoment ujinga hata kwenye ishu sensitive,
Mfano kwa nature ya uzi wako hata ingekuwa story ya kutunga bado inafaida nyingi kwa msomaji,kwa maana dislike hazikutegemewa,lakini kwa kuwa huu mtandao ushakuwa wa kila mtu basi utakutana na disappointment za kutosha
Cha muhimu wapuuze watu wachache afu uandike kwa manufaa ya wengi
Nadhani hata wewe unavyosimulia kuna namna unapata relief,I look forward to hear from you!
 
Mpwayungu village ukuje basi utumalizie story yetu....kama mke umeshapatiwa na mwanajf,ama unataka ajitokeze mwanajf mwingine akuzawadie nyumba ama
 
Kwani hayo maambukiz ni sabab ya hali ya hewa? Kwan hii nchi ni njombe tu ndo kwny baridi?.

Kuna maeneo kama lushoto huko tanga,mbeya, arusha, moshi kuna baridi balaa lakn mbna maambukizi hayapo juu kama inavosemwa njombe?? Nahisi kuna sabab nyngne
Eti lushoto, Arusha na moshi ndo useme Kuna barid Sasa ya kuifananisha na njombe ??

Barid ya njombe ni habar nyingne asee na wilaya inayoongoza kwa baridi ni makete na ndo ulikozid Sana ukimwi
Kwahy hta Kam Kna sababu zingne ila barid nayo inachangia kwa kias kikubwa
 
Salute mkuu.

GPA 4.2

Kweli maisha Sio ya kukariri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…