miaka ya nyuma kidogo niliwahi kuishi njombe nikitokea mkoa wa kilimanjaro (Moshi)........Njombe ni zaidi ya urusi yaani sijawahi kukaa makete lakini hapo njombe ni baridi la kufa mtu,siku ya kwanza tu kufika kule nikajiuliza hawa raia wa uku wanaishi vipi yaaniEti lushoto, Arusha na moshi ndo useme Kuna barid Sasa ya kuifananisha na njombe ??
Barid ya njombe ni habar nyingne asee na wilaya inayoongoza kwa baridi ni makete na ndo ulikozid Sana ukimwi
Kwahy hta Kam Kna sababu zingne ila barid nayo inachangia kwa kias kikubwa
Kwani lazima,si uendelee na maisha yakoHii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga.
Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
Vijiji vyenye machimbo ya dhahabu walau kwa uchache: Mbecha,Mibure,Chienjere,Nandagala,Chingumbwa,Mkuti,Mandalawe,Matambalale bila kusahau baba lao NAMUNGO ila hiki sio kijj bali ni kitongoji katika kijj cha chingumbwan (Zote wilaya ya Ruangwa), afu kuna Namajani ukivuka mto mbwemkuru....Nditi,lupota,malambo ikungu,mpiruka hizi zote ziko nachingwea...kote huko machimbo yamejaa inategemea unataka uende chimbo lipi....Karibu KusiniVijiji gani kuna hayo machimbo ya dhahabu.?
#MaendeleoHayanaChama
Ukiandika usiweke uwingi kwenye hisia zako peke yako.Mkuu mie nakushauri achana kabisa na huu Uzi hapo ulipofikia inatosha maana sio busara kuandika kitu huku unakinyongo nacho wewe fanya maisha yako tu kwa sasa na sie wasomaji hata hatutaki uendele nao huu uzi
Utelezi bhanaHii story yote kisa mwanamke
Unaweza kukuta hii tabia ya kususa anayo mpaka kwa mke wake [emoji23][emoji23][emoji23]Story nzuri ila kususa kuimalizia ni upoyoyo uliianzisha ya nini, unataka ubembelezwe umekuwa demu wewe hata mademu wenyewe siku hizi hawabembelezwi, usiilete baki nayo,
Analyse ndo alikuwa muungwana alileta story zake mwanzo mwisho ni mtu anaesimamia ahadi zake,, ukiamua kutoa fundisho basi litoe sio unaishia katikati eti kwa kususa
Sipendi mwanaume anaesusa katika maisha yangu uwiiiii
Ni wewe tu ndio haukushirikishwa tena kwa sababu maalumUkiandika usiweke uwingi kwenye hisia zako peke yako.
Pole sana pengine mi ni baba yakowe nae mtoto wa mama kula kulala hujawai kupita kwenye msoto uone dunia ilivyo hii story anayosimulia hapa yote anayoeleza yametokea 2020 ndo ametoka maliza form six ila wewe unalinganisha na story ya kutongoza wanafunzi 50 darasani chuoni anakosoma ambayo ni mwaka huu 2022 acheni ujuaji watoto wa mama mtu kuleta story sio lazima iwe imetokea juzi au jana inaweza anayosimulia yametokea miaka mitano au kumi iliyopita bali ni kumbukizi katika mapito yake ya maisha miaka iliyopita ila nyie machoko mnalinganisha na nyuzi za maisha yake ya leo wakati mwezenu anasimulia miaka mitano iliyopita kabla hajafika alipo leo kimaisha ndomama waleta story hawamalizi kisa ujuaji wenu wa kiboya msiyoyajua
Ok,nimekuelewa umeandika kwa hisia sanaWapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Hii ndio jf niliyovutiwa nayo sasa nikajiunga kupata visa vya wenzetu na maishaStory za namna hii zimeadimika sana.....Bora uibariki Jumapili yetu..leta utamu
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Unalibembeleza jitu liongo la kazi gani hilo!!Mkuu please lete stori tupo wengine tunaitaji kujifunza wapuuze wale wote ambao wapo hapa kukukejeli lete vitu mzee
Asante sana kwa muongozo..na je zina hila? na dhahabu zao niza vikole ama?Vijiji vyenye machimbo ya dhahabu walau kwa uchache: Mbecha,Mibure,Chienjere,Nandagala,Chingumbwa,Mkuti,Mandalawe,Matambalale bila kusahau baba lao NAMUNGO ila hiki sio kijj bali ni kitongoji katika kijj cha chingumbwan (Zote wilaya ya Ruangwa), afu kuna Namajani ukivuka mto mbwemkuru....Nditi,lupota,malambo ikungu,mpiruka hizi zote ziko nachingwea...kote huko machimbo yamejaa inategemea unataka uende chimbo lipi....Karibu Kusini
Sikiliza wewe kituntufye.Kuandika uzi mrefu katika kujaribu kumdodosa mtu usiyemjua ni upuuzi. Soma story mezani, maisha yake binafsi achana nayo, maana sio muhimu kwako. Huu ushauri uende kwa wapuuzi wengine pia.