Ujue ni bora kukaa kimya kuliko kuongea bila kufikiri..amesema alikuwa na vyeti vya kidato cha sita na nne ila hakuwahi kusema ni vya mwaka gani..ila tukio lilitokea mwaka 2020.Mnalibembeleza la kazi gani hili jamaa la STD VII ya 1992?
Umeandika kinyesi hapa.Mimi nilihisi tu huyu jamaa ataishia njiani. Maana kuna watu unahadithia jambo lako lakini yeye anawashwa kama vile amekalia upupu.
Mara muongo,Mara chai,Mara hivi hawatosheki wakiandika hapa wanaenda mpka pm. Sijui nini huwa kinatokea kwa hawa wadau WA jf.
Ushauri ikiletwa story ya MTU iwe uongo au kweli, tulia usome hadithi yote ili upate mikasa na ujifunze hata ikiwa uongo huvunjiki mguu. Huwezi, usisome ondoka sio kujaza uchafu kwenye Uzi WA mwezako.
Ndio, wanajenga barabara ya zege kama ya mwendokasi kuanzia Njombe hadi Ludewa. Kuna baadhi ya vipande walishamaliza.Mbali na hivyo kuna barabara wanatengeneza
Ebana vipi!!?Wewe hebu kafie mbele huko na ma-uongo yako.
Eti darasa la saba 1992.
Halafu form six 2020.
Hivi unajua mtu aliyemaliza STD VII 1992 sasa hivi ana mvi mpaka matakoni?
We unazo hauna?
Acha kabisa mkuu! Pale Ikonda kuna mtu naweza kumwita dada yangu kabisa. Huyu tulisoma shule moja, alinitangulia darasa moja, tulipendana sana tukiwa watoto (sio kwa mapenzi solemba)Aisee makete mpaka ikonda
Jf ina much know wengi sana...
Achana nao fanya yako
Hahaaa...imeisha hiyooooyule KIDAGAA ndo best character hadi muda huu.....!!
Dada una mapenzi ya dhat kwa jamaa yako....🤣🤣🤣🤣Kwani lazima,si uendelee na maisha yako
🤣🤣🤣🤣Jamaa anafikiri wote JF ni vilaza.....Wewe hebu kafie mbele huko na ma-uongo yako.
Eti darasa la saba 1992.
Halafu form six 2020.
Hivi unajua mtu aliyemaliza STD VII 1992 sasa hivi ana mvi mpaka matakoni?
We unazo hauna?
Umenikumbusha trial within a trial sijui! Wanasheria wanajua. Yaani kesi ndogo ndani ya kesi kubwa.Kijana huenda amepata majanga mengine, tutaanza kusikiliza hadithi ndogo ndani ya hadithi ya msingi
Hatutaki Uongo anaojifanya ni ukweliMpwayungu endelea bhana
Njombe Bwana bonge moja la sehemu..ovaYap ndo nawashangaa wanaoifananisha na Arusha, mwenyew nakumbuka cyo nafka njombe ile barid sio poa afu wenyeji wakaniambia huu sio msimu wa baridi man inaanzia mwez wa 6 adi nkajiulza watu wa huku wanaishije
Wewe ni lijinga kweli!Wewe mpuuuzi unajifanya mjuaji wa kila kitu,unadhani wewe mkewe unaishi nae???.
Haya maisha kila mtu anapitia yake,kama ukiona chai tafuta mengine ufanye sio kuleta ujuaji mbele ya wanaume
mkuu wewe leta tu ila fanya review ya data zako kama na wewe hauitaj keleleNilichojifunza watu humu wanapenda sana simulizi..ntawaletea yangu siku moja (simulizi ya kweli ya maisha yangu inasisimua sana..ni ya kweli na si ya kubuni)
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mpwa nakushukuru kwa Uzi wako uliokuwa ukinipa ujasiri na kuamini kuna magumu zaidi wenzangu wanapitia...