Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Mimi nilihisi tu huyu jamaa ataishia njiani. Maana kuna watu unahadithia jambo lako lakini yeye anawashwa kama vile amekalia upupu.
Mara muongo,Mara chai,Mara hivi hawatosheki wakiandika hapa wanaenda mpka pm. Sijui nini huwa kinatokea kwa hawa wadau WA jf.

Ushauri ikiletwa story ya MTU iwe uongo au kweli, tulia usome hadithi yote ili upate mikasa na ujifunze hata ikiwa uongo huvunjiki mguu. Huwezi, usisome ondoka sio kujaza uchafu kwenye Uzi WA mwezako.
Umeandika kinyesi hapa.
 
Wewe hebu kafie mbele huko na ma-uongo yako.

Eti darasa la saba 1992.

Halafu form six 2020.

Hivi unajua mtu aliyemaliza STD VII 1992 sasa hivi ana mvi mpaka matakoni?

We unazo hauna?
Ebana vipi!!?
unataka shari au! Mtu anatusimulia hadithi whether ni kweli ama uongo unakausha...
sio kanisani hapa!
kutaka ukweli tupu
 
Aisee makete mpaka ikonda
Acha kabisa mkuu! Pale Ikonda kuna mtu naweza kumwita dada yangu kabisa. Huyu tulisoma shule moja, alinitangulia darasa moja, tulipendana sana tukiwa watoto (sio kwa mapenzi solemba)

Safari hii tulikutana tukiwa wakubwa.
Aisee! wema alionitendea siwezi kuandika.
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mh__a.
 
Wewe hebu kafie mbele huko na ma-uongo yako.

Eti darasa la saba 1992.

Halafu form six 2020.

Hivi unajua mtu aliyemaliza STD VII 1992 sasa hivi ana mvi mpaka matakoni?

We unazo hauna?
🤣🤣🤣🤣Jamaa anafikiri wote JF ni vilaza.....
 
Yap ndo nawashangaa wanaoifananisha na Arusha, mwenyew nakumbuka cyo nafka njombe ile barid sio poa afu wenyeji wakaniambia huu sio msimu wa baridi man inaanzia mwez wa 6 adi nkajiulza watu wa huku wanaishije
Njombe Bwana bonge moja la sehemu..ova
 
wewe kijana mleta bandiko..kwanini ususe kusimulia kitu tumekifatalia kwa page zetu hizo af utuache solemba kisa tu unapata mixed feedback kwenye story yako? hii sample ya watu wanaosema story yako ya uongo au wewe mzembe ni moja ya watu kwenye jamii..huwezi kuwakimbia..ni wawakilishi wa sampuli ya binadamu na tabia zao tunaoishi nao mtaani..tuishi nao.
 
Back
Top Bottom