Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito



Sifa kuu ya MACHOKO ni SHOBO!!
 
Mi sijasoma hii story nimesoma mwanzoni tu.huyu ndugu alipofika stand alitakiwa aulizie hospital ya wilaya au kituo cha afya angepata hifadhi kule sass yeye anaenda kujichanganya na vibaka.
 
Umemaliza kila kitu.
 
Niliyojifunza kwenye huu uzi
1. Mtoa story inabidi alindwe ikiwezekana comment ziwe mwishoni baada ya story.

2. Nikileta story sitosoma comments hadi iishe

3. Mtoa mada majanga yamezidi kwa sababu sio mvumilivu(ameshindwa vumilia comments mbaya mbaya)

4. Big up kwa story , sio lazima story zote zifikie tamati, series ya traveler iliishia season ya kwanza episode ya 8 but kwangu hakuna series kama ile .

5. Iliufanikiwe usisikilize sana ya watu fanya yako.
 
Kuuumbe we mzee muongo hivi??? cheti gani kinatolewa na maalama ya buluu!! kila sehemu hata km mtu huku soma humu JF huu ni uongo wa wazi wazi hakuna cheti cha hivo na ukipeleka hiki wanakupiga nacho usoni amini navo kwambia!

kwa akili yako ukaona sisis tutakuamini kwa malama hayo ya kizushi??
 
We jamaa mbona unamambo ya kike, hv unawashwa nini kama unaona story ya kutunga c uache kusoma kwani unalazimishwa we utakuwa chok* sio bure
 
Alama za blue zipi hapo c yeye ndio kaficha baadhi ya taarifa zake ebu acheni ushamba
 
Mkuu tuendelee na story, achana na hao wajuaji.
 
Nimeielewa kitu,ni kwanini walimu hudharauliwa,kumbe ni maisha magumu

Sasa dada wa kimbulu toka Kanda ya ziwa kwenda kujichimbia mbwinde huko no hatari hii,

Bora udalali kwenye hili jiji
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…