Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Hamna kituh

Hamna kitu hapa. Mtu hujui hata kuandika. Eti prutable....ukitaka maanisha Pool Table. Kiswahili kinakushinda unaandika Kupuguta sijui unataka maanisha nini. Hivi vyeti vipo vingi tu unaweza pata uka ficha jina na kuja post humu.

Unataka udanganye tukuchekee tu.. thubutu... Ondoka na uongo wako. Na unayemchukulia story yake naye naona amekukasiriki. Siku nyingine ukitaka kudanganya jipange. Omba wenye uelewa wakusaidie...


Sifa kuu ya MACHOKO ni SHOBO!!
 
Mi sijasoma hii story nimesoma mwanzoni tu.huyu ndugu alipofika stand alitakiwa aulizie hospital ya wilaya au kituo cha afya angepata hifadhi kule sass yeye anaenda kujichanganya na vibaka.
 
Mkuu hata kama ungeweka jina lako halisi na picha za kusapoti matukio, kuna watu wangepinga tu amini hivyo, binadamu hatufanani. Na wengi wanaofanya hivyo wana shida zao kichwani, wana mapungufu ya kisaikolojia, mtu mwenye akili na muelewa kutokana na mtiririko wa matukio na Geografia ameshajua kuwa unachoeleza ni cha kweli tupu kwa kusoma tu episodi 2.

Uzuri ujue, wanaokuamini ni wengi sana kuliko wakatisha tamaa waliojifanya wanajua ilhali hamna wanachojua na hawewezi andika hata story ya kuvutia kama ufanyavyo angalau kwa paragraph 2 tu , usi rely kwa hao wakatisha tamaa rely kwa watu wa kweli.

Nakusihi mkuu we endelea, wengi tunajifunza, siyo tu kwa hii story yako ya kusisimua na aina ya uandishi wako, bali pia kwa kujua Geografia ya mother Tanzania.
Umemaliza kila kitu.
 
Niliyojifunza kwenye huu uzi
1. Mtoa story inabidi alindwe ikiwezekana comment ziwe mwishoni baada ya story.

2. Nikileta story sitosoma comments hadi iishe

3. Mtoa mada majanga yamezidi kwa sababu sio mvumilivu(ameshindwa vumilia comments mbaya mbaya)

4. Big up kwa story , sio lazima story zote zifikie tamati, series ya traveler iliishia season ya kwanza episode ya 8 but kwangu hakuna series kama ile .

5. Iliufanikiwe usisikilize sana ya watu fanya yako.
 
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Kuuumbe we mzee muongo hivi??? cheti gani kinatolewa na maalama ya buluu!! kila sehemu hata km mtu huku soma humu JF huu ni uongo wa wazi wazi hakuna cheti cha hivo na ukipeleka hiki wanakupiga nacho usoni amini navo kwambia!

kwa akili yako ukaona sisis tutakuamini kwa malama hayo ya kizushi??
 
Hamna kituh

Hamna kitu hapa. Mtu hujui hata kuandika. Eti prutable....ukitaka maanisha Pool Table. Kiswahili kinakushinda unaandika Kupuguta sijui unataka maanisha nini. Hivi vyeti vipo vingi tu unaweza pata uka ficha jina na kuja post humu.

Unataka udanganye tukuchekee tu.. thubutu... Ondoka na uongo wako. Na unayemchukulia story yake naye naona amekukasiriki. Siku nyingine ukitaka kudanganya jipange. Omba wenye uelewa wakusaidie...
We jamaa mbona unamambo ya kike, hv unawashwa nini kama unaona story ya kutunga c uache kusoma kwani unalazimishwa we utakuwa chok* sio bure
 
Kuuumbe we mzee muongo hivi??? cheti gani kinatolewa na maalama ya buluu!! kila sehemu hata km mtu huku soma humu JF huu ni uongo wa wazi wazi hakuna cheti cha hivo na ukipeleka hiki wanakupiga nacho usoni amini navo kwambia!

kwa akili yako ukaona sisis tutakuamini kwa malama hayo ya kizushi??
Alama za blue zipi hapo c yeye ndio kaficha baadhi ya taarifa zake ebu acheni ushamba
 
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Mkuu tuendelee na story, achana na hao wajuaji.
 
Back
Top Bottom