Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Hii village tuliyoingia safari hii ni mikosi tupu, huku safari ya lindi huku yoga kote ni kusikilizia kama tumebet
 
Embu acha makasiriko kuonyesha au kutokuonyesha hayo nI maamuzi yake
 
Unamjua mtawa ikonda?
 
Akhsante sana mkuu nimejifunza kitu kupitia hii comment yako

Acha kabisa kitu kinaitwa njaa
 
Umeamua kutumia trick na maneno ya kukera ili mleta uzi arudi jamaa ni mjanja zaidi ya mnavyofikirI pengine nae yupo hapa akiwa na ID mpya anawaunga mkono kinafiki
 
Una shida nyingi sana zimekujaa kila sehemu ujalazimishwa kusoma stori ya mpwayungu na kupoteza muda wako bure acha kumkebei jamaa fanya mishe zako upunguze shida zako
 
Lini wabongo mtaelewa maana ya freedom of expression, kila siku mnalilia demokrasia wakati hamjajiandaa kuyapokea yatokanayo na hiyo demokrasia.
Kwenye uzi kama huu kwanini mtu atoe mawazo yake hasi hadi kufikia kumtusi mleta mada inabidi tu mtu hata kama umeona ni uongo acha usifatilie mambo ya watu basi.
 
Kwani usipoamini au ukiamini hii stori unapungukiwa na nini kwenye maisha yako watu weusi mungu kuna kitu alitufanyia si bure tuna matatizo sana ujuaji mwingi lkn akili kichwani hakuna acha kumkebei mpwayungu ata lete stori yako basi
 
Kwenye uzi kama huu kwanini mtu atoe mawazo yake hasi hadi kufikia kumtusi mleta mada inabidi tu mtu hata kama umeona ni uongo acha usifatilie mambo ya watu basi.
ila kama wanaandika kwnye public then wakubali kuwa ni taarifa ya wote na wote wanaruhusiwa kuchangia kwa mitizamo yote
 
Umeamua kutumia trick na maneno ya kukera ili mleta uzi arudi jamaa ni mjanja zaidi ya mnavyofikirI pengine nae yupo hapa akiwa na ID mpya anawaunga mkono kinafiki
ana IDs tatu naziona zinavyokuja jitetea. mi sina haja na uongo wake. ni bora angesema tu kuwa story ametunga kuliko kujifanya ni kweli akitaka kutudanganya sis wenye akili.
 
Kwani usipoamini au ukiamini hii stori unapungukiwa na nini kwenye maisha yako watu weusi mungu kuna kitu alitufanyia si bure tuna matatizo sana ujuaji mwingi lkn akili kichwani hakuna acha kumkebei mpwayungu ata lete stori yako basi
sasa kwa nini yeye atake kuaminisha kuwa ni kweli wakati si kweli?shida ndo ipo hapo tu. hii story inasimuliwa kwenye group yeye anaileta huku akijifanya ni yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…