Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka hyo nililala gest hyo ilikuwa ya jamaa wa ugabwa wakuitwa exaveriMwamuli
Kuwa na heshima,umejiunga JF jana au juzi?Genye zikikupanda ukahitaji mshedede naomba nistue jombaa
Embu acha makasiriko kuonyesha au kutokuonyesha hayo nI maamuzi yakeUnaficha ili iweje?? ... km umeamua kuweka wazi weka tujue!! unaficha nani ana shida na licheti la division four failure karibu na zero!......
kufanya ivo unaweza chukua cheti chochote kile ofisini kwako hapo hata kwa rafiki yako au ndg yako hasa km unatoaga photocopy Machines!...si wanakuja wateja wengi tu hapo!....na
kama wangekuwa wanaweza kuiba hivyo vyeti ki ivo basi Watoa photo copy wangekuwa matajiri sana!...umeamua kuonyesha onyesha tuu kila mtu humu anacho tena zaidi ya hicho!! mfyuuuxcvxvzvz!
Unamjua mtawa ikonda?Acha kabisa mkuu! Pale Ikonda kuna mtu naweza kumwita dada yangu kabisa. Huyu tulisoma shule moja, alinitangulia darasa moja, tulipendana sana tukiwa watoto (sio kwa mapenzi solemba)
Safari hii tulikutana tukiwa wakubwa.
Aisee! wema alionitendea siwezi kuandika.
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mh__a.
Akhsante sana mkuu nimejifunza kitu kupitia hii comment yakoNakiri kuwa ni aibu sana kumueleza mtu kuwa unaskia njaa na unahitaji chakula,hivyo ukikutana na binadam mwenzako hajakuomba hela Wala hajakuomba chochote Ila kafikia hatua ya kuvua aibu zote na kakuomba chakula tu tafadhali kama unaweza kumsaidia usimuache Wala usimuone chizi mnunulie/mpe chakula
Dunia ina adhabu nyingi sana ila miongoni mwa adhabu zake ni njaa huku ukiwa hauna pesa wala msaada wowote tulio wahi kupitia hiyo hatua tunajua.
Akili zako ziko matak* mwako halafu mimi nI mwaaume so ukitaka kupumuliwa sema mapema ushughulikiweUnamtetea mumeo kweli kweli... Usi panic sister. Kawaida tu haya...😂😂😂😂😂😂
Umeamua kutumia trick na maneno ya kukera ili mleta uzi arudi jamaa ni mjanja zaidi ya mnavyofikirI pengine nae yupo hapa akiwa na ID mpya anawaunga mkono kinafikiUtagundua jamaa ni muongo hata ujasiri aliokuwa anajipa ni uongo. Humu tumemshtukia tu kakimbia. Wakati kule kwenye story yake alipambana na vibaka kadhaa akawashinda. Akalala porini na kukaaa na majangiri yenye SMG huku kakutana na walume ndago wamembana kona kwa maneno kakunja mkia. Nyie msidhani mchezo kuwa mwanaume... Unaleta mkwara mbuzi na stories za uongo wanaume wa ukweli wanakuangalia wanasema Hiiiiiiiiii.... Wanakutisha kama wanataka kukupa mbata.... Unaanguka .ukiamka unajicheck ...ushajinyea.... Unakimbia ukitoa harufu kali.....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nlishawaambia dogo ana tuchoraJamaa punguza usaniiView attachment 2226121
Sorry mkuu nmekosea ku-quote sikukulenga wewe!
Una shida nyingi sana zimekujaa kila sehemu ujalazimishwa kusoma stori ya mpwayungu na kupoteza muda wako bure acha kumkebei jamaa fanya mishe zako upunguze shida zakoNimeishia sehemu ya 4 nimeona hii ni Chai haiingii akilini jamaa kukusubir chini ya uvungu wa Basi una kipi kikubwa [emoji53][emoji53][emoji53] halafu begi lako lilikua ni zito sana km ulivyonadi uliwezaje kukimbia vile, pia wakati wanataka kukutia kisu cha Jicho begi walikuwa nalo wao na waliona vyeti uliwezaje kupata muda wa kufunga begi na kukimbia?
Kwenye uzi kama huu kwanini mtu atoe mawazo yake hasi hadi kufikia kumtusi mleta mada inabidi tu mtu hata kama umeona ni uongo acha usifatilie mambo ya watu basi.Lini wabongo mtaelewa maana ya freedom of expression, kila siku mnalilia demokrasia wakati hamjajiandaa kuyapokea yatokanayo na hiyo demokrasia.
Kwani usipoamini au ukiamini hii stori unapungukiwa na nini kwenye maisha yako watu weusi mungu kuna kitu alitufanyia si bure tuna matatizo sana ujuaji mwingi lkn akili kichwani hakuna acha kumkebei mpwayungu ata lete stori yako basiWatu wazima uzima upi? Jamaa anachokosea ni kutaka kuwaaminisha watu wenye akili kuwa story ni ya kweli wakati ni ya kutunga. Hilo hatuwezi likubali. Aende zake huko. Wamemtoa kwenye group alilokuwa aki copy na kuja ku paste huku. Wakimrudisha ataleta tena story. Aache kutudanganya sisi wenye akili.
kwa nini unapenda kujifanya mwanaume wakati mwandiko wako unakusaliti? huwezi jificha dada tabia haijifichi hata kidogoAkili zako ziko matak* mwako halafu mimi nI mwaaume so ukitaka kupumuliwa sema mapema ushughulikiwe
ila kama wanaandika kwnye public then wakubali kuwa ni taarifa ya wote na wote wanaruhusiwa kuchangia kwa mitizamo yoteKwenye uzi kama huu kwanini mtu atoe mawazo yake hasi hadi kufikia kumtusi mleta mada inabidi tu mtu hata kama umeona ni uongo acha usifatilie mambo ya watu basi.
ana IDs tatu naziona zinavyokuja jitetea. mi sina haja na uongo wake. ni bora angesema tu kuwa story ametunga kuliko kujifanya ni kweli akitaka kutudanganya sis wenye akili.Umeamua kutumia trick na maneno ya kukera ili mleta uzi arudi jamaa ni mjanja zaidi ya mnavyofikirI pengine nae yupo hapa akiwa na ID mpya anawaunga mkono kinafiki
sasa kwa nini yeye atake kuaminisha kuwa ni kweli wakati si kweli?shida ndo ipo hapo tu. hii story inasimuliwa kwenye group yeye anaileta huku akijifanya ni yakeKwani usipoamini au ukiamini hii stori unapungukiwa na nini kwenye maisha yako watu weusi mungu kuna kitu alitufanyia si bure tuna matatizo sana ujuaji mwingi lkn akili kichwani hakuna acha kumkebei mpwayungu ata lete stori yako basi