Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Icho kijeba cha kiarabu ni kimwanaume haswa... Kinakula nyagi na fegi bila wasi mbele za bolisi while dealing with crisis😅

Unaleta za kuleta kina dili na wewe very smoothly hadi ukaishia kuwa mfano kwa yeyote atakaefikiria kuleta choko choko

Hiyo situation naijua sana. Nimeishakutana nayo mara kibao tu. I feel you bro ha ha ha

Mkasa umekolezwa zaidi na hilo jina KIDAGAA ni balaaa 😅😂🤩 Mfanyakazi mtiifu kabisa kwa kambale... Waliku-maindi sana kushindwa kuwa understanding, tolerate, and compassionate mpwayungu village
So far Mwarabu na Kidagaa ndo character zilizotisha sana kwenye hiki kisa..

Imeisha hiyo
 
So far Mwarabu na Kidagaa ndo character zilizotisha sana kwenye hiki kisa..

Imeisha hiyo
Yaani these two wametisha sana. Its at that point nilicheka loudly kabisa.

Na hawakumuonea. They were just being men and maintaining this title at time of test.

Pole sana mpwayungu village apo ndo baadae uliona the wisdom ya "FIKIRI KABLA YA KUFANYA 'MAUJINGA' "
 
Dah! Ukiona mtu anaomba lift Kwa Bodaboda ujue kweli Yuko serious, nimejikuta nacheka na kuhuzunika Kwa pamoja.

Kwamba ukiwa hauna pesa unajulikana tu.

Hii stori inanikumbusha siku naenda kuanza kidato Cha sita Moshi nikitokea Kanda ya kati kupitia Arusha, sitasahau maishani mwangu. Nimefika Arusha nikalala kesho yake nikutane na ndugu yangu anaetokea Dar kuniletea pesa za ada na matumizi, kumpigia Kwa zile box za ttcl, ananiambia nishushe Dar, hatoweza kuja Arusha...hapo nna pesa ambayo nililala guest tu, nakosa nauli ya kwenda Dar

Niliadhimia kulala nje ili nibanie pesa ya kulala guest inisaidie nauli kesho yake. Nikadhania stand ya Arusha watu wanakesha ili nijumuike nao Hadi asubuhi, kumbe pale watu hawakeshi. Nikajitutumua nikapiga kahawa kutoa usingizi na kupunguza machungu ya baridi.

Watu walianza kupungua nikabaki peke yangu, nikawa nakatiza mitaa kama ntabahatisha sehem kijiwe nikeshe, wapi. Ikafika mahala nakutana na polisi wa doria na mbwa, nikaona hapa ntaishia lockup.

Ilipofikia saa nane kasoro usiku, nimepigwa na baridi, nilivaa t-shirt tu, nikafanya maamuzi ya kutafuta guest house nilale, sikuwaza Tena mambo ya nauli. Nilihangaika sana guest zilikua zimejaa. Nikaja kupata njia ya kuelekea Ilboru. Ilibaki chumba kina vitanda vitatu, Kwa hasira nililala Cha kwanza, nikaenda Cha pili, nikamalizie Cha tatu, wakati naingia yule Mama mhudumu ananiambia Kuna maji ya kuoga ya moto, sikumbuki nilimjibu kitu Gani lakini sikuoga Wala kutoka Tena Hadi asubuhi.

Kesho yake Nimeenda stand, nauli Sina, nawaza niongee na makondakta nikifika Dar niwasiliane na ndugu niletewe nauli niwaachie bag. Kila nikiwaza Hilo Wazo ujasiri unaniishia, sikuweza kuondoka. Nikaamua kuwa mtalii natembea bila kujua naelekea wapi, nilijikuta Kijenge huko ndio muujiza wangu ulipokua. kilichotokea Mungu alikua na makusudi yake.

Ni kitu kimenifanya Hadi Leo mtu akiniambia ana shida/ tatizo nimsikilize Kwa kutulia.

Sikwenda Dar nilipotakiwa kufuata pesa za ada na matumizi, nilijikuta nimefika sehem sahihi hapo hapo Arusha, nikaambiwa nisubirie ntaletwa Kila kitu kabla ya kuelekea shule Moshi. Nilikua naambiwa ingia ndani, naogopa nataka nikae chini. Yaani matatizo yaliyonipata na zile shida naona kama Kila mtu anajua yaliyonipata na hadhi yangu sistahili hata kuingia kwenye nyumba ya watu.

Jioni najifanya kuaga utafikiri nna pakwenda, ndio nikaambiwa tumeambiwa usiondoke Hadi utakapoletewa vitu vyako.

Mwisho, ukipata nafasi ya kumsaidia mtu Kwa namna yeyote Ile, na ukaona kabisa unapata msukumo moyoni mwako, Fanya hivyo. Usijiulize maswali mengi sana ( sikiliza moyo unasemaje) akikutapeli mwachie Mungu tu, itakua umefanya Kwa nafasi Yako.
well said genious.
 
Hapo Zambia ni jirani na hospitali ya bulongwa. Niliwahi enda kikazi hapo Hospitali bulongwa tukalazwa kwenye guest ya kituo cha watoto yatima kuingia vyumbani kila chumba kina mablanketi manne. Mbaya zaidi nililala mwenyewe siku hiyo hakukua na mgeni mwingine. Imagine baridi la kule ulilowekewa blanket 4 guest nzima umelala mwenyewe na mhudumu wa guest ambaye ni mmama flani. Kidogo nikamgongee usiku niombe colabo ikaniwakia taa nyekundu kichwani kua huku makete kwa ngoma hatari, nikaingia bafuni nikapiga masterbation nikaja kulala usingizi mzito nikastukia asbh hii hapa
Hatari sana
 
Dah! Ukiona mtu anaomba lift Kwa Bodaboda ujue kweli Yuko serious, nimejikuta nacheka na kuhuzunika Kwa pamoja.

Kwamba ukiwa hauna pesa unajulikana tu.

Hii stori inanikumbusha siku naenda kuanza kidato Cha sita Moshi nikitokea Kanda ya kati kupitia Arusha, sitasahau maishani mwangu. Nimefika Arusha nikalala kesho yake nikutane na ndugu yangu anaetokea Dar kuniletea pesa za ada na matumizi, kumpigia Kwa zile box za ttcl, ananiambia nishushe Dar, hatoweza kuja Arusha...hapo nna pesa ambayo nililala guest tu, nakosa nauli ya kwenda Dar

Niliadhimia kulala nje ili nibanie pesa ya kulala guest inisaidie nauli kesho yake. Nikadhania stand ya Arusha watu wanakesha ili nijumuike nao Hadi asubuhi, kumbe pale watu hawakeshi. Nikajitutumua nikapiga kahawa kutoa usingizi na kupunguza machungu ya baridi.

Watu walianza kupungua nikabaki peke yangu, nikawa nakatiza mitaa kama ntabahatisha sehem kijiwe nikeshe, wapi. Ikafika mahala nakutana na polisi wa doria na mbwa, nikaona hapa ntaishia lockup.

Ilipofikia saa nane kasoro usiku, nimepigwa na baridi, nilivaa t-shirt tu, nikafanya maamuzi ya kutafuta guest house nilale, sikuwaza Tena mambo ya nauli. Nilihangaika sana guest zilikua zimejaa. Nikaja kupata njia ya kuelekea Ilboru. Ilibaki chumba kina vitanda vitatu, Kwa hasira nililala Cha kwanza, nikaenda Cha pili, nikamalizie Cha tatu, wakati naingia yule Mama mhudumu ananiambia Kuna maji ya kuoga ya moto, sikumbuki nilimjibu kitu Gani lakini sikuoga Wala kutoka Tena Hadi asubuhi.

Kesho yake Nimeenda stand, nauli Sina, nawaza niongee na makondakta nikifika Dar niwasiliane na ndugu niletewe nauli niwaachie bag. Kila nikiwaza Hilo Wazo ujasiri unaniishia, sikuweza kuondoka. Nikaamua kuwa mtalii natembea bila kujua naelekea wapi, nilijikuta Kijenge huko ndio muujiza wangu ulipokua. kilichotokea Mungu alikua na makusudi yake.

Ni kitu kimenifanya Hadi Leo mtu akiniambia ana shida/ tatizo nimsikilize Kwa kutulia.

Sikwenda Dar nilipotakiwa kufuata pesa za ada na matumizi, nilijikuta nimefika sehem sahihi hapo hapo Arusha, nikaambiwa nisubirie ntaletwa Kila kitu kabla ya kuelekea shule Moshi. Nilikua naambiwa ingia ndani, naogopa nataka nikae chini. Yaani matatizo yaliyonipata na zile shida naona kama Kila mtu anajua yaliyonipata na hadhi yangu sistahili hata kuingia kwenye nyumba ya watu.

Jioni najifanya kuaga utafikiri nna pakwenda, ndio nikaambiwa tumeambiwa usiondoke Hadi utakapoletewa vitu vyako.

Mwisho, ukipata nafasi ya kumsaidia mtu Kwa namna yeyote Ile, na ukaona kabisa unapata msukumo moyoni mwako, Fanya hivyo. Usijiulize maswali mengi sana ( sikiliza moyo unasemaje) akikutapeli mwachie Mungu tu, itakua umefanya Kwa nafasi Yako.
Miujiza ni Mingi,,2012 nipo Mkoani huko nipo Tee vibayaa sana mfukoni sina hata dala,,nawaza napigaje simu home kumpiga sound nitumiwe pesa, hata elfu 10,mara nasikia Mlio kwenye ki nokia Changu cha tochi(colour screan) naona imethibitishwa umepokea elfu 58,sikuwa na ahadi yeyote ya kupokea Pesa na nadhani kwa wakati ule huduma ya kurejesha muamala haikuwepo,,ila nilichomoka kama usain bolt hadi kwa wakala nikaitoa fasta elfu 55 nikarudi geto,,nikaanza subiri nani atanipigia kunambia kakosea wapii,,nikaanza mipango sasa ya kutumia helaaa yangu,,ule kwa kweli ulikuwa muujizaaa
 
Aisee hv nikitaka ile story ya rojas naipaje kwenye mitandao humu...yan yule jamaa ni teja ila cha ajabu anajua kuhadithia utafkiri unaangalia movie....ile trip yake ya south ilikuw ni hatari mbaya aisee😂

 
Back
Top Bottom