0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Humu jf kuna watu huwa ni wajinga sana,yaan huwa wanahisi kuandika ni rahisi sana,afu huwa wanahisi sjui mtoa story hana kazi zingine,wajinga sanaKwahiyo unataka aandike non stop bila kukatisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu jf kuna watu huwa ni wajinga sana,yaan huwa wanahisi kuandika ni rahisi sana,afu huwa wanahisi sjui mtoa story hana kazi zingine,wajinga sanaKwahiyo unataka aandike non stop bila kukatisha?
Msikitini huswali mara 4 kwa siku,asubuhi mchana jioni na usiku,hata ungeenda na jina lako la kikristo kuwaomba msaada hawatakufukuza maana ni dhawabu kumsaidia mgeni.Watu wengi sana tunawasaidiaHili swali ni zuri sana msikitini na kanisan au hata polisi,alikuwa anahofia nin?,watu wengi wanapopotea au kufika sehemu ngeni kimbilio lao ni msikitini
Wachawi mmeanza uko Telegram peleka ww story yakoIshia hapa hapa. Andika kitabu au anzisha group telegram watu wajiunge kwa kuchangia....
Sorry, ulipoenda Makete ulikuwa umeshamaliza chuo kikuu/ulikuwa na elimu gani na umri gani?Stori ya jamaa imenifanya niende nikafukue ofisini namba ya simu ya dada fulani pale makete ili nimlipe fadhila, bahati mbaya namba alishapewa mtu mwingine.
Imagine huyu dada nilifika pale makete nilikuwa sina hata mia na ishakuwa jioni. Nikaenda gesti kwa sababu chimbo nililopanga kulala palikuwa na baridi kali sana. Yule dada mhudumu wa gesti nilivyoanza kumpiga sound tu akanikatisha, akasema usiendelee kuongea akasema nifate.
Akanionesha chumba nililala bure kabisa nilipewa na maji ya moto japo sikuoga.
Wanaume tunapitia mengi jamani asikwambie mtu.
Madarasa ya wanafunzi wanawahi kuhesabu namba saa kumi na mbili na nusu asubuhi waje wasafishe madarasa yao mimi niwe nimelala humo?.au niwe nakurupushwa naamka mapema halafu kuoga na nguo zangu naweka wapi? Shida zipo ila fedheha sio sifaKwa nn ucngekubali kulala hata darasani unakubali kwenda afu utarud wagen wakiondoka?.....ila story ipo inspired mkuu
sasa chai na juice wapi wapi. Au ndio utam umekukolea mpaka sikio la 3 limefunguka lenyeweanayeona ni chai akatafute juice ya bariiiiidi anywe, atuachie chai yetu tuile na kashata..!!
Sehem gan makete,kesho naenda huko nielekeze nikampe salam zakoStori ya jamaa imenifanya niende nikafukue ofisini namba ya simu ya dada fulani pale makete ili nimlipe fadhila, bahati mbaya namba alishapewa mtu mwingine.
Imagine huyu dada nilifika pale makete nilikuwa sina hata mia na ishakuwa jioni. Nikaenda gesti kwa sababu chimbo nililopanga kulala palikuwa na baridi kali sana. Yule dada mhudumu wa gesti nilivyoanza kumpiga sound tu akanikatisha, akasema usiendelee kuongea akasema nifate.
Akanionesha chumba nililala bure kabisa nilipewa na maji ya moto japo sikuoga.
Wanaume tunapitia mengi jamani asikwambie mtu.
Huyu jamaa ana bahati ya kudondosha nauliJamaa punguza usaniiView attachment 2226121
Hiyo ipo mkoa wa Ruvuma.Kwan Tunduru ipo mkoa gani mkuu?,
Ilikuwa wilaya gani?Inanikumbusha mwaka 2011 niliacha nyumbani kila kitu kizuri kuanzia chakula cha uhakika mpaka sehemu nzuri ya kulala. Nikaenda wilaya ya tatu eti kutafuta maisha. Kuna usiku mmoja ulikuwa mgumu sana kwangu, sitasahau.
Kuharakisha maisha tu, nyumbani sikuwa na shida yoyote ile kila kitu uhakika, na niliaga vizuri tu japo walisikitika kwa maamuzi yangu. Baada ya kumaliza fm 4 nikaona kula vya bure nyumbani inatosha, nikasema nitafute changamoto mpya.Sorry, ulipoenda Makete ulikuwa umeshamaliza chuo kikuu/ulikuwa na elimu gani na umri gani?