muyakb24
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 412
- 290
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mzee wangu Tupe muendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
kwa niaba ya wavaa soksi na malapa na wakaa kwa mashemeji jicho kideoni uzi hatuutaki tunacheki muvi tuje tusimulie mikoani sio habar za kutembea kwenye vumbi na kulala poriniHawa wajuaji huwa wapo sana kwenye nyuzi za watu hapo usikute wapo kwa shemeji zao wanavaa tu soksi na malapa na kuangalia movies sebulen hawajui kisanga Cha utafutaji kuwa Kuna hatua maisha huwa yanakua magumu zaidi ya movie za majonzi.
Achana nao Leta uzi kwa mslahi ya sisi tunao amini wakati wowote chochote kinaweza kutokea katika maisha.
Welcome back kitambo hujaonekanaUna safari ndefu km bado unasubiri kujifunza kupitia story tena kutoka kwa mwanamke,,
Uungwana God bless you.Ok,nimekuelewa umeandika kwa hisia sana
Pia nisamehe kwa yaliyojitokeza mkuu
Tulizaliwa,kwa Sasa tunaishi na tutakufa siku moja,
Katikati ya kuzaliwa na kufa Kuna mengi tunapitia wewe Ukiwa mmojawapo
Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Mkuu nadhani wengi humu ni vijana, watu wazima kama mimi na pasilkali mayala tupo wachache labda na mshana jr. Kuna comments nilizisoma kuhusu mpwayungu village nikajua hataendelea na story yake, hata mimi nisingeendelea kwahiyo mimi binafsi simlaumu mpwayungu village kususa maana hata mimi ningesita kuendelea kutumia muda wangu ambao silipwi kukejeliwa namna ile!Yaani Mpwayungu Village maneno ya kidagaa (Imeisha iyoooo) umeweza kuyavumilia halafu kauli ndogo tu za wanazengo wa jamii forum unaleta makasiriko kweli
Yani Mpwayungu Village kama hutoleta muendelezo basi kauli ya mwamba mmoja aliyetaka kukupatia bint yake nitamshawishi asikupatie......
Watu wazima uzima upi? Jamaa anachokosea ni kutaka kuwaaminisha watu wenye akili kuwa story ni ya kweli wakati ni ya kutunga. Hilo hatuwezi likubali. Aende zake huko. Wamemtoa kwenye group alilokuwa aki copy na kuja ku paste huku. Wakimrudisha ataleta tena story. Aache kutudanganya sisi wenye akili.Mkuu nadhani wengi humu ni vijana, watu wazima kama mimi na pasilkali mayala tupo wachache labda na mshana jr. Kuna comments nilizisoma kuhusu mpwayungu village nikajua hataendelea na story yake, hata mimi nisingeendelea kwahiyo mimi binafsi simlaumu mpwayungu village kususa maana hata mimi ningesita kuendelea kutumia muda wangu ambao silipwi kukejeliwa namna ile!
Pole mpwayungu village.
Sasa si kitabu kinajulikana..kumbe hata huelewi mambo ambayo ni fiction na yasiyo fiction.mpwayungu village kama kuna namna naweza pata muendelezo
nitumie utaratibu inbox au weka apa tu hao wapingaj achana nao
tunasoma vitabu kila siku hatuna wakuuliza kama ni kweli au uongo
Hamna kitu hapa. Mtu hujui hata kuandika. Eti prutable....ukitaka maanisha Pool Table. Kiswahili kinakushinda unaandika Kupuguta sijui unataka maanisha nini. Hivi vyeti vipo vingi tu unaweza pata uka ficha jina na kuja post humu.Wapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Kaa na mmeo akufunde, hujafundwa wewe mwanamke.Umeandika kinyesi hapa.
Mkuu watu waliosoma la kwanza Hadi chuo bila ya kufukuzwa wala kupata misukosuko hapa katikati huwa wana akili ndogo sana (inawezekana hawana hata Iyo ndogo)[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mzee wangu Tupe muendelezo
Tufanye tu,kakudanganya wewe unapungukiwa nini? Unaonaje ukipita tu, after all hii ni story yakeWatu wazima uzima upi? Jamaa anachokosea ni kutaka kuwaaminisha watu wenye akili kuwa story ni ya kweli wakati ni ya kutunga. Hilo hatuwezi likubali. Aende zake huko. Wamemtoa kwenye group alilokuwa aki copy na kuja ku paste huku. Wakimrudisha ataleta tena story. Aache kutudanganya sisi wenye akili.
Unakula pop corn kwa kasi kuliko Mr beanHii story imenimalizia popcorn za laki 6 na bia kreti 4!
Muendelezo uko wapi,?
Kumbe ni mwanafunzi ?kwenye uzi kasema kamaliza form 6 na humu anasema yuko darasaniView attachment 2230030
Hongera kwa kujipa moyoBado hii sio hoja kwa sababu hii stori imemtokea 2020 akiwa tayari kamaliza form 6.
So mpaka hivi leo pengine kaamua kuendelea na chuo na kukutana na maswahibu kama hayo ya kwenye uzi.
Umejuaje ni bikraMpwayungu village nakusihi katika imani yako achana na hao akina Tomaso.(wasioamini)
Maliza stori yako ukate kiu ya wengi.
Usiwaache watu na hamu kwa stori yako tamu.
Ahadi yangu kwako kama hujaoa nitakupa binti yangu bikra akupoze machungu ya kuhaso na maisha ya ufukara.
Binti yangu ni mwajiriwa ana kipato sio chini ya 3M kwa mwezi.