Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga.
Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
Mtoa si mtu mgeni na Jf na WaTz kwa ujumla hivyo ni lazima tokea anaanzisha uzi ajiandae kisaikolojia kutokana na mambo kama haya tena humu wanaomkosoa wachache mno wengi wameonyesha sapoti kubwa mpk uzi kufika hapa ulipo hivyo ilimpasa yeye kuwajali wengi wanaomsikiliza na huo ndio uungwana na kwa ninavyojua Jf naona bado hajapata maudhui kabisaSijaona maana ya kuwa na Moderator Jf..mtoa Uzi ameudhiwa,amesemwa vibaya nk..vile vile wachangiaji wanatamkiana maneno yasiyo na staha lakini bado Uzi unaachwa tu.
Kazi kweli.
wabongo kwa ujuaji, hatutaki wachambuzi kwenye hadithi yetu kwani kama chai au maziwa unapungukiwa au kuongezewa kipi? uongo nao ni kipaji, Mpwayungu vilage yupo vizuri na anaweza.Hii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga.
Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
.. kwa hiyo umeona watu wanavyomkubali anafaidi au.Nilichogundua kuhusu mpwayungu village,
_Ni mtu mwenye maisha ya wastani si magumu wala so mazuri sana
_Ni mtu mzima kiasi, yaani kijana aliyekomaa,tofauti na umri anaotuaminisha
_Kazunguka kiasi mikoa mbalimbali na kupiga kambi ya muda mrefu
_hajafika advance kama anavyodai,bali ana form four fulani ya kuzugia
_Mkasa kuhusu hii hadithi yake ni imagination,kaunganisha Dot's tu
_yaani kifupi sehemu zote alizotaja aliwahi kufika tena kwa shughuli zingine
_nimejaribu kufukua nyuzi zake nyingi
Yaani haziendani na matukio yake mengi Uzi huu ,yupo chuo,Uzi huu kaishia form six,uzi huu kamaliza shule ya msingi 1992 yaani fujo tupu
Yote kwa yote hadithi yake imeishia hapo,
Maana Kama ni mateso yalianzia baada ya kufukuzwa na friend mate au roommate wake,
Kisha akaelekea mbagala kuianza Safari ya kuelekea kusini
Uzuri kipande hiki kapangilia vizuri sana Hadi pale aliponunua samaki kule somanga na kugundua hela zote kapoteza
Akaharibu baada ya kufika kilwa masoko ambapo Kuna vibaka wakawa wanataka kumpora
Shots Kati ya yeye na vibaka hapa alituuza, haiwezekani vibaka wang'ang'anie mtu mmoja, vibaka hawapo hivyo
Hadithi hii angekuja na I'd mpya ingekuwa tamu zaidi hata Kama ni ya kufikirika.
Lindi haina watuNaomba ni attack mapView attachment 2229590
[emoji23][emoji23]Kijana huenda amepata majanga mengine, tutaanza kusikiliza hadithi ndogo ndani ya hadithi ya msingi
...yani kuna jitu limedandia sehemu ya 12 likahadithia kama kaka Mpwayungu na mimi nikatiririka nayo nimekuja kugundua kwenye comments. Punguzeni ujuaji jamani na nyie gungueni nyuzi zenu acheni kutafuta umaarufu kwenye nyuzi za watu. Kaka Mpwayungu lete vitu utakuwa hututendei haki tunaokufuatilia bali utawatendea haki wanaokuhudhi sababu ndio lengo lao uache kutusimulia.Ona sasa huyu mpuuzi katukosesha story kwa upuuzi wake wa kujifanya mjuaji
Bado hii ni stori ya kubuni tuWapuuzi kama nyie ndommeacha nisiendelee na huu uzi tena badala ya kutoa fact nikupe ukweli lakini unaamua kupinga tu eti hivi visa ni uongo. Umeamua kuingia kwenye profile yangu kutafuta Mada nilizokuwa nikiweka baada ya kuziona nikajua wewe ni mdadisi na mtafiti mzuri tegemeo langu uje uulize sehemu yoyote yenye mashaka nikujibu lakini unamaliza mazima yani kuwa huu uzi ni uongo. Sawa acha iwe hivyo maana akili zako zimekutuma lakini kwakua mumeamua kusema sieleweki Mala nasema nipo chuo Mala nasema nimemaliza form six vyovyote vile hayo mm napokea. Ila naomba niongee machache na hapa siongei na wewe Bali ni wana jamii forum wote. Elimu ya Tanzania iko yaaina tatu naomba nitaje kwa kimombo, Kuna formal education, informal na non formal education sasa kueleza moja baada ya nyingine mda huo sina kwahiyo naweza kusoma mwaka huu nikamaliza darasa la saba nikapumzika hata miaka mitano kutokana na akili yangu inavyonituma baada ya hapo nikaenda kidato na nne nikamaliza nikakaa miaka matatu mitaani huwezi jua nini kilinipata, after then naenda kumaliza kidato cha sita maamuzi ya kwenda chuo ni mm mwenyewe. Sasa nakuomba nenda ukasome sehemu ya kwanza ya huu uzi utakuta mwaka niliokuwa natafuta shule za kufundisha ilikuwa ni 2020, halafu nenda kwenye post niliopost nikisema nipo chuo. Swali ni kwamba kama nimeishia form six 2020 je ilipofika 2021 nikaona ni bora niende tu chuo na sifa ninazo kwani siruhusiwi?. Sasa mimi nimeamua tu kuwaweka wazi sio kila kitu ni kupinga tena mnapinga upuuzi hamuulizi mkajibiwa ndio maana moyo ulisita kuendelea. Na kwakua umesema mm muongo basi hapa chini naambatanisha baadhi ya nyaraka, mimi ni mtu na akili zangu huwezi nipangia mwaka wa kwenda chuo wala sekondari. Ninaweza kusoma PGM chuo nikasoma hata human resource kama sifa ninazo mtu hanipangii, naweza kusoma PCB nisiende udaktari nikaenda kusoma certificate in primary education kutokana na malengo yangu. Usikalili maisha na utanichunguza ila hutafanikiwa na ndio maana tunatumia fake ID humu kwahiyo siwezi kuweka kila kitu wazi mpaka mtu avute hisia mwishowe ajue kumbe mwenye hii ID ni ALEX au SAMWELI. View attachment 2230523View attachment 2230524View attachment 2230525
Buni na wewe ya kwako.Bado hii ni stori ya kubuni tu
[emoji23]Acheni kushabikia ujinga nyie.
jitu limemaliza STD VII 1992, mvi hadi matakoni mkeshupalia ujinga tu. Akafie mbele huko.
Nimeishi hiyo wilaya nafahamu unachozungumzaAcha kabisa mkuu! Pale Ikonda kuna mtu naweza kumwita dada yangu kabisa. Huyu tulisoma shule moja, alinitangulia darasa moja, tulipendana sana tukiwa watoto (sio kwa mapenzi solemba)
Safari hii tulikutana tukiwa wakubwa.
Aisee! wema alionitendea siwezi kuandika.
Mwenyezi Mungu akubariki sana Mh__a.
[emoji23]...yani kuna jitu limedandia sehemu ya 12 likahadithia kama kaka Mpwayungu na mimi nikatiririka nayo nimekuja kugundua kwenye comments. Punguzeni ujuaji jamani na nyie gungueni nyuzi zenu acheni kutafuta umaarufu kwenye nyuzi za watu. Kaka Mpwayungu lete vitu utakuwa hututendei haki tunaokufuatilia bali utawatendea haki wanaokuhudhi sababu ndio lengo lao uache kutusimulia.