PromiseLand
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 298
- 413
Ukitaka kujua aina ya kizazi tulichonacho fuatilia comment za wachangiaji wengi humu JF utabaki kinywa wazi, tuna kizazi cha ajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe weka ushahidi uache kudandia wanaume wa watu. Mi nimeoa. Sijui mleta mada.Embu leta ushahidi na uache kuropoka vitu usivyokuwa na uhakika navyo
Naunga hoja
Kabisa wajuaji ni wengi mnoooHumu JF inatakiwa kuwe na option ya mwenye uzi kuwa na hati miliki yaani aruhusiwe kuchagua nani wa kucoment kwenye uzi wake na awe na uwezo wa kumtoa mtu kwenye uzi wake.
Kiswahili kibovu kabisa - enga, ako, apana etc.Nimesoma soma kidogo, nitarudi
[emoji1787][emoji1787] jamaa buree kabisa hata muvi zile zina wanao ziponda na kutoa critism..Huyu mpwanyungu alichokifanya ni sawa na kidume unakaribia kumwaga wazungu..kisha demu anachomoa mkunyenye na kuondoka geto..hahaaaa noma sana.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafeli sana huyu hawez kuwa baba ni dhaifu... Kakomaa na kina kidagaaa anashindwa hapampwayungu village na wengijeo mnaoleta nyuzi humu kwa ajili ya kuelimisha, kuburudisha nk.
Kaeni mkijua kua humu kuna watu wa aina tofauti tofauti, hizo mambo za kususa sio ishu, kwani mlitaka kila mtu aamini kile nyie mnasema kua ni kweli.
Watu kama mleta uzi hawafai kua viongozi hata wa familia, wao wanataka wanachokisema kiaminike ilhali sio wote wanaweza kukiamini.
Kikubwa ni kupuuza wanaopinga, maliza story mwisho wa siku mtu ataona chai lakini kwa namna moja au nyingine atakua ameelimika mahali fulani.
Hii ya kususa kisa umeambiwa ni chai ni utoto wa hali ya juu.
Enewei, natumai utaendelea kushusha nondo.
Mshikaji kasusa..daah.[emoji1787][emoji1787] jamaa buree kabisa hata muvi zile zina wanao ziponda na kutoa critism..
Hata kina Mondi na Harmonize wanatoa nyimbo watu wanaponda ila haawachi kuimba..
Kwa kifupi mpwayungu village ni dhaifu na kukimbia kwake kunazd kutia shaka ka kweli alipitia visanga vyote vile..
Imeisha hiyooo..!
Sio kudagaa tu, na wale walimu waliomwondoa usiku usiku wakati ni mgeni lkn pia wale majangili waliomuacha solembaKwa ujinga huu wa kususa Muarabu na Kidagaa walishakuona una mambo ya kiwaki ndo maana walikupiga chini kwenye gari yao
Kidagaa alimjua kitambo jamaa Kama anambo yakike ndio Mana akampiga chini akamrudishia nauliSio kudagaa tu, na wale walimu waliomwondoa usiku usiku wakati ni mgeni lkn pia wale majangili waliomuacha solemba
Huyu jamaa ni k#m@ kabisaKwa ujinga huu wa kususa Muarabu na Kidagaa walishakuona una mambo ya kiwaki ndo maana walikupiga chini kwenye gari yao
Kabisa lina mambo ya kike, pia linaonekana lofa lofa mnoKidagaa alimjua kitambo jamaa Kama anambo yakike ndio Mana akampiga chini akamrudishia nauli